zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Hazard- best position, left wing.Uuzaji na ununuzi bado unaendelea. Real Madrid wanamsarandia Neymar sijui kama watampata na tayari wameshatumia pesa ndefu sana. BARCA wakidengua usishangae akitua Real Madrid.
Uuzaji na ununuzi bado unaendelea. Real Madrid wanamsarandia Neymar sijui kama watampata na tayari wameshatumia pesa ndefu sana. BARCA wakidengua usishangae akitua Real Madrid.
Man u for the best 10 years haijauza mchezaji yoyote kwa pesa ya maana kivipi haijaguswa na FFP rules ?diego simeone ameifanya atletico madrid iwe ni timu tishio barani ulaya kwa takribani miaka 8 tokea akabidhiwe madaraka ya kuisimamia klabu hiyo, kabla ya ujio wa diego simeone atletico walishindwa kufikia nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi kuu kwa takribani miaka 10 (2001-2011).
ujio wa diego simeone umepelekea atletico madrid waondokane na laana ya kushindwa kuvuka kwenye hatua ya 16 bora kwenye michuano ya UEFA laana ambayo imedumu tokea mwaka 1997.
ninachowapendea atletico madrid ni tabia yao ya kulipa fedha kwa mujibu wa kiwango cha mchezaji husika, ikitokezea mchezaji ana kiwango cha wastani basi watamnunua kwa fedha ndogo baadae watamtengeneza aendane na mfumo wa uchezaji unaotumiwa na mwalimu ndio maana imekuwa ni vigumu sana kumkuta mchezaji anashidnwa kuendana na style ya uchezaji wa timu na ushahidi wa hilo jaribu kurejea usajili wa savic ambaye alishindwa kuwika man city.
atletico madrid si wabahili kwenye biashara ya kununua wachezaji mahodari vile vile atletico madrid wapo vizuri sana kwenye biashara ya kuwauza wachezaji wao nyota kwa fedha nyingi(aguero, falcao, jackson martinez,curtois, griezman, miranda n.k)
utofauti mkubwa kati ya atletico na benfica unakuja kwenye manunuzi ya wachezaji waliokwisha tengenezwa, mara nyingi benfica wanatengeneza wachezaji wenye wao kwa kuwanunua kwa fedha ndogo na kuwauza baadae kwa hela nyingi ndio maana hawafanyi vizuri barani ulaya ukilinganisha na atletico madrid
Kutokana na Mauzo ya Mshambuliaji Antoine Griezmann jana mchana kwa kiasi cha €120 Million hivyo kufikisha mapato ya Atletico Madrid kwenye mauzo ya wachezaji wao ndani ya miaka 10 hii ni €1,080 Million yaani €1.08 Billion. Hivyo kuvunja rekodi ilioshikiliwa na Benfica huko nyuma kwa mbali sana.
View attachment 1152909
Hii ni takwimu kabla ya mauzo ya Griezmann jana
NB: dirisha hili tu wameingiza tayari €300 Million kwa mauzo ya wachezaji watatu tu yaani Lucas hernandez €80 M, Rodri Hernandez €70, Griezmann €120 M.
Je klabu zingine zina lipi la kujifunza?
Benfica ndo wanapata faida,hao wengine ni hasara tupu
Benfica wana faida kwenye mauzo kweli ila nje ya hapo hawana faida kuzidi timu yeyote hapo..... Atletico kwenye mikataba tu ya Tv, masoko,Viwanja n.k kutokana na usajili inaofanya hao Benfica hawafikii hata 15% ya Faida ya Atletico.Benfica ndo wanapata faida,hao wengine ni hasara tupu
Man u for the best 10 years haijauza mchezaji yoyote kwa pesa ya maana kivipi haijaguswa na FFP rules ?
Mkuu hiyo -7 ni kabla Griezmann anauzwa.... Ni vizuri tusome uzi kwa umakiniHakuna cha kujifunza hapo
Saabu purchase yao ni kubwa kuliko mauzo yao,mwisho wanafanya kuwa na balance ya -Ve