zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kutokana na Mauzo ya Mshambuliaji Antoine Griezmann jana mchana kwa kiasi cha €120 Million hivyo kufikisha mapato ya Atletico Madrid kwenye mauzo ya wachezaji wao ndani ya miaka 10 hii ni €1,080 Million yaani €1.08 Billion. Hivyo kuvunja rekodi ilioshikiliwa na Benfica huko nyuma kwa mbali sana.
Hii ni takwimu kabla ya mauzo ya Griezmann jana
NB: dirisha hili tu wameingiza tayari €300 Million kwa mauzo ya wachezaji watatu tu yaani Lucas hernandez €80 M, Rodri Hernandez €70, Griezmann €120 M.
Je klabu zingine zina lipi la kujifunza?
Hii ni takwimu kabla ya mauzo ya Griezmann jana
NB: dirisha hili tu wameingiza tayari €300 Million kwa mauzo ya wachezaji watatu tu yaani Lucas hernandez €80 M, Rodri Hernandez €70, Griezmann €120 M.
Je klabu zingine zina lipi la kujifunza?