Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Comrade hutaki watu wajikinge na maambukizi ya korona wapotee kama yule mzee?Legacy adhimu & adimu & azizi ya JPM haifutiki hata kwa bleach ya concentrated sulphuric acid. Sanasana wanatusaidia kujua kwamba kumbe juhudi za miaka mitano zilikuwa solely za Magu pekee. Almost wengine wooooote walikuwa wakunja mikono.
Ficha upuuzi wako, una hakika JPM kafa kwa Corona?.Ubishi wa Magufuli ulipelekea yeye mwenyewe kufa
Kwahiyo waliagana wafe kwa mkupuo yeye na kina Kijazi au kuna Mbu wa Malaria aliwang'ata woteFicha upuuzi wako, una hakika JPM kafa kwa Corona?.
Huo ujinga mnautoa wapi..?.... Na yeye anatengeneza Legacy yake kwa Awamu yake ya Sita
Wewe si ndiye ulikurupuka na taarifa za kifo cha mlinzi wa Magufuli kufa na corona au leo unajitoa ufahamu?.Kwahiyo waliagana wafe kwa mkupuo yeye na kina Kijazi au kuna Mbu wa Malaria aliwang'ata wote
Mlinzi wa usiku kule Chato mbona alishazikwa siku nyingiWewe si ndiye ulikurupuka na taarifa za kifo cha mlinzi wa Magufuli kufa na corona au leo unajitoa ufahamu?.
Nani kakwambia anafuta? Acheni chuki. Hivi leo mkifuatiliwa na kuulizwa na vyombo vya usalama mtapiga kelele. Kila rais ana mtazamo wake wa kutekeleza ajenda za taifa lake. Samia hawezi kuvaa viatu vya Josef. Haitatokea. Kwa kawaida Rais akiapishwa huo anachagua mwanasheria, IGP, CDF na Director wa TISS. Mbona mama amewaacha? Mawaziri nani kaondolewaMama Samia ndio kinara wa kufuta legacy ya Magufuli, tena kimakusudi.
Magufuli alipinga sana uvaaji wa barakoa kwa viongozi wa serikali.
Thubutu.....achekwee!..hivi Magu aliwahi kuvaa barakoa hata mara moja ktk kipindi chote cha mlilpuko wa corona?
Wanajisahaulisha na wala usijishughulishe nao Huna haja ya kuwajibu. . Usisahau watu wanaoongea humu ndani kumponda Magufuli ni either walikuwa vyeti feki,Barakoa ingekuwa inaokoa India wasingekufa kwa wingi kiasi hicho, ni wavaaji wazuri wa barakoa!! Magufuli alitufanya tumtegemee Mungu kuliko barakoa!! Na Mungu alituponya na kutukinga! Kupanga ni kuchagua, ukichagua kutegemea barakoa zaidi ni uamuzi wako! Magufuli hakuzuia barakoa lakini hakuziamini barakoa za nje, alihimiza barakoa za kujishonea.
The man himselfLegacy adhimu & adimu & azizi ya JPM haifutiki hata kwa bleach ya concentrated sulphuric acid. Sanasana wanatusaidia kujua kwamba kumbe juhudi za miaka mitano zilikuwa solely za Magu pekee. Almost wengine wooooote walikuwa wakunja mikono.
Corona ipo hakuna sababu kuishi kwa kujidanganya tena, sasa ni kutumia akili tu.
Unadhan barakoa hawavai?Wanakwisha huko kwa wenzetu... Maiti za tangu March ziko kwenye mochwari za semi View attachment 1777727
Msomi?Mama ni msomi na anatambua umuhimu wa kujikinga ,usisahau kuwa mama ana miaka 61 ,yuko kwenye kundi hatarishi ,Kimsingi mama alichelewa sana kuvaa barakoa.Hata hivyo ,tunampongeza kwa hatau hii.
Comrade hutaki watu wajikinge na maambukizi ya korona wapotee kama yule mzee?
Msomi?
India wasingekufa kama barakoa dawa au kinga
Wao mpaka chanjo tayar Leo kuna nyymbu watasema chanjo dawa hawajiuliz why India inakufa
Ila wewe jamaa BWEGE sana.Msomi?
India wasingekufa kama barakoa dawa au kinga
Wao mpaka chanjo tayar Leo kuna nyymbu watasema chanjo dawa hawajiuliz why India inakufa