Rasmi Barakoa

Safi sana Mama! legacy wakati wengine walibaguliwa sana nchi hii walionekana kana kwamba siyo Watanzania, ukanda,ukabila na undugu ndiyo ulishamili nchii. Wengine tulikuwa kama siyo watanzania
Wapuuzi kama Bashite,
 
Legancy haipigiwi kelele Mkuu,Mama anaishi kama ambavyo mataifa yote duniani yanafanya kila liwezwkanalo kujikinga na Corona,wewe enedelea kumfuatilia mama hutafanikiwa kwa kuwa mama ndiye Rais na anayo support ya Watanzania wote wenye Akili timamu .
 
Mama ndiye Rais ya tuliekuwa tunamsubiria ,hakika tumepata Rais ambae ameanza kuonyesh kwa vitendo kuwa Tanzania mpya isiyokuwa na ubaguzi inawezekana
Hawezi kukuelewa huyo. Wamekariri tuuu ^Mama^ ^Mama^ ^Mama^ mpaka wamepofuka akili kumkichwa
 
Legacy ndio nini ? Embu tufafanulie kwa maana pa tuliamishwa kuwa mapapai yana virusi
 
Safi sana Mama! legacy wakati wengine walibaguliwa sana nchi hii walionekana kana kwamba siyo Watanzania, ukanda,ukabila na undugu ndiyo ulishamili nchii. Wengine tulikuwa kama siyo watanzania
Hii ndio Legacy inapiganiwa na wapuuzi kama Gwajima na kundi lake
 
Msomi?
India wasingekufa kama barakoa dawa au kinga

Wao mpaka chanjo tayar Leo kuna nyymbu watasema chanjo dawa hawajiuliz why India inakufa
Tunapojadili tupunguze uongo kuzipa uzito hoja. India ni asilimia 11.5 tu ndio wamechanjwa. Hiyo asilimia haitoshi kusema kama hiyo chanjo imewafaa au la. Kitaalamu inatakiwa ifike 70%
 
Conc. H2SO4 na bleach wapi na wapi ?! Kemia hujui.
 
Ubishi wa Magufuli ulipelekea yeye mwenyewe kufa
Mmemuua kwa kusingizia corona, sasa mbina baada ya kufa yeye watu mkiokua mnawatoa kafala hawafi tena?

Kwa hiyo magufuli ndo alikua anasambaza vorona kutoka mwilini mwake?

Siku hizi sioni post zenu kuonyesha nani kafa wakati huko nyuma ndo ilikuwa kazi yenu mkishawaua mnakuwa wa kwanza ktangaza humu.
 
Mlinzi wa usiku kule Chato mbona alishazikwa siku nyingi
Hebu acheni uongo, kuna wakati nafsi ziwasute aseee, mlinzi mliyemshadidia kafa siye huyo unayetaka kuaminisha umma hapa bali ni yule poti mweusi na picha mkatumiana kama sherehe although baadaye mlikuja kudhalilika baada ya kuonekana pale St. Peter kanisani.
 
Mama Samia ndio kinara wa kufuta legacy ya Magufuli, tena kimakusudi.
Magufuli alipinga sana uvaaji wa barakoa kwa viongozi wa serikali.
Bora arud mtangulizi au nasema uongo ndugu yang!! 🤣🤣🤣🤣
 
Ila wewe jamaa BWEGE sana.

Hivyo kwakuwa watu wanaugua malaria pamoja na kutumia vyandarua kwa akili yako utasema VYANDARUA HAVIZUII MTU KUPATA MALARIA
Hajui kwamba mbu kukuambukiza malaria sio lazima akukute kitandani,hata sebuleni.
 
Tumia akili zako vizuri.aliyekwambia barakoa inamfanya mtu asife ni nani,hiyo ni kifaa cha kusaidia kupunguza maambukizi na swala sio kuvaa tu bila kuchukua tahadhari za matumizi yake.Sasa una hakika gani kua hao wahindi wanavaa hizo barakoa kwa kuzingatia taratibu?.Kifo kipo tu lakini linapokuja swala la kuchukua tahadhari ya jambo muhimu ni vyema tukaacha ujinga.
 
Msomi?
India wasingekufa kama barakoa dawa au kinga

Wao mpaka chanjo tayar Leo kuna nyymbu watasema chanjo dawa hawajiuliz why India inakufa
Unaelewa nini unapoambiwa uchuke tahadhari?au umekalia ujinga tu.
 
baada ya kufa yeye watu mkiokua mnawatoa kafala hawafi tena?
Corona inakuja kwa awamu wewe angalia India awamu ya kwanza haikuuwa sana Awamu ya pili umeona weye matanga?

Raisi wenu kajitoa kafala ng'wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…