Wapuuzi kama Bashite,Safi sana Mama! legacy wakati wengine walibaguliwa sana nchi hii walionekana kana kwamba siyo Watanzania, ukanda,ukabila na undugu ndiyo ulishamili nchii. Wengine tulikuwa kama siyo watanzania
Msomi?
India wasingekufa kama barakoa dawa au kinga
Wao mpaka chanjo tayar Leo kuna nyymbu watasema chanjo dawa hawajiuliz why India inakufa
ache upuuzi ,mbona tunatumia mosquito net na bado watu wanakufa kwa malaria?nyie ndio mliolishwa sumu kuwa hakuna Corona ila ukweli utabaki pale pale Corona ipo na inaua na hata Watanzania wapo waliopuuza na wamekufaMsomi?
India wasingekufa kama barakoa dawa au kinga
Wao mpaka chanjo tayar Leo kuna nyymbu watasema chanjo dawa hawajiuliz why India inakufa