Rasmi Barakoa

Rasmi Barakoa

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
FB_IMG_1620480470605.jpg
 
Mama Samia ndio kinara wa kufuta legacy ya Magufuli, tena kimakusudi.
Magufuli alipinga sana uvaaji wa barakoa kwa viongozi wa serikali.



Legacy adhimu & adimu & azizi ya JPM haifutiki hata kwa bleach ya concentrated sulphuric acid. Sanasana wanatusaidia kujua kwamba kumbe juhudi za miaka mitano zilikuwa solely za Magu mwenyewe. Almost wengine wooooote walikuwa wakunja-mikono na wapinzani wa ndani kwa ndani.
 
Legacy adhimu & adimu & azizi ya JPM haifutiki hata kwa bleach ya concentrated sulphuric acid. Sanasana wanatusaidia kujua kwamba kumbe juhudi za miaka mitano zilikuwa solely za Magu pekee. Almost wengine wooooote walikuwa wakunja mikono.
713Pdjb2+KL._AC_SL1001_-1.jpg

Unataka denda nenda
 
Legacy adhimu & adimu & azizi ya JPM haifutiki hata kwa bleach ya concentrated sulphuric acid. Sanasana wanatusaidia kujua kwamba kumbe juhudi za miaka mitano zilikuwa solely za Magu pekee. Almost wengine wooooote walikuwa wakunja mikono.
Safi sana Mama! legacy wakati wengine walibaguliwa sana nchi hii walionekana kana kwamba siyo Watanzania, ukanda,ukabila na undugu ndiyo ulishamili nchii. Wengine tulikuwa kama siyo watanzania
 
Back
Top Bottom