Rasmi BAWACHA wamemlipia Mbowe Milioni 1.5 fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Rasmi BAWACHA wamemlipia Mbowe Milioni 1.5 fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Inaonekana BAWACHA wametimiza rasmi ahadi yao ya kumlipia Mbowe fomu ya Uenyekiti

Soma pia: BAWACHA Pwani kutoa Tsh. Milioni 1.5 kumchangia fomu ya uenyekiti Mbowe

Kundi la wanawake wanaomuunga Mkono Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa Chadema kwa kipindi kingine cha miaka mitano likiongozwa na Mwenyekiti wa Bawacha Mkoa wa Ilala Nice Gisunte, leo Disemba 22, 2024 wamelipia fomu kiasi cha Milioni Moja na Laki Tano.

Baadae leo watamkabidhi risiti hiyo na kumsindikiza kurejesha fomu Makao Makuu, Mikocheni Dar es salaam.
wasafifm_1734873691744.jpeg
 
Wakuu,

Inaonekana BAWACHA wametimiza rasmi ahadi yao ya kumlipia Mbowe fomu ya Uenyekiti

Soma pia: BAWACHA Pwani kutoa Tsh. Milioni 1.5 kumchangia fomu ya uenyekiti Mbowe

Kundi la wanawake wanaomuunga Mkono Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa Chadema kwa kipindi kingine cha miaka mitano likiongozwa na Mwenyekiti wa Bawacha Mkoa wa Ilala Nice Gisunte, leo Disemba 22, 2024 wamelipia fomu kiasi cha Milioni Moja na Laki Tano.

Baadae leo watamkabidhi risiti hiyo na kumsindikiza kurejesha fomu Makao Makuu, Mikocheni Dar es salaam.
View attachment 3182609
ni haki na uhuru wake kufanya hivyo,

hivi ile fomu ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibia alilipia nani vile? :pedroP:
 
Sijawahi kujua kuwa fomu za uongozi ndani ya chama cha CHADEMA zinanunuliwa. Hiki ni chama cha matajiri bila shaka. Huko kwenye chama cha mbogamboga fomu huwa ni bure kuanzia shinani hadi taifani.
 
Dili la viti maalum baada ya uchaguzi na majimbo ya bure kwenye uchaguzi
 
Wakuu,

Inaonekana BAWACHA wametimiza rasmi ahadi yao ya kumlipia Mbowe fomu ya Uenyekiti

Soma pia: BAWACHA Pwani kutoa Tsh. Milioni 1.5 kumchangia fomu ya uenyekiti Mbowe

Kundi la wanawake wanaomuunga Mkono Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa Chadema kwa kipindi kingine cha miaka mitano likiongozwa na Mwenyekiti wa Bawacha Mkoa wa Ilala Nice Gisunte, leo Disemba 22, 2024 wamelipia fomu kiasi cha Milioni Moja na Laki Tano.

Baadae leo watamkabidhi risiti hiyo na kumsindikiza kurejesha fomu Makao Makuu, Mikocheni Dar es salaam.
View attachment 3182609
Trusted like fox! James Hadley Chase
 
Back
Top Bottom