alizet tatizo lake harufu sio wote wanawez kuyapikiahawa watu wa darisalama wanadhani yanayotokea huko kwao ni nchi nzima.lakini si mkuu juzi juzi kazindua kiwanda kikubwa cha mafuta ya alizeti!?
Uko wapi nije walau nipate vijiko viwili,tugawane umasikiniKama mimi hapa nilibeba hotpot la wali uliobaki jana na chupa ya chai,nimekunywa asubuhi na mchana ntakula huo huo
Sikupatii picha ukiingia chooni aisee.Kama mimi hapa nilibeba hotpot la wali uliobaki jana na chupa ya chai,nimekunywa asubuhi na mchana ntakula huo huo
Wewe ni kula kulalamkuu labda kwenu
Jolie nakuaminia, hio show ya kibabe [emoji119]Kama mimi hapa nilibeba hotpot la wali uliobaki jana na chupa ya chai,nimekunywa asubuhi na mchana ntakula huo huo
Ni bana matumiziJolie nakuaminia, hio show ya kibabe [emoji119]
Hahahaha aiseeWewe ni kula kulala
Natafuta kazi
[emoji115] hata huo uzi wako unaonyesha kuwa huna kazi labda unafanya kazi ya kudanga mjini au unalelewa na wazazi wako so huwezi jua maisha kilaaaz+ wewe
View attachment 765566
Sikupatii picha ukiingia chooni aisee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] umetishaa
Nasindikiza na maji mengi nikienda toi ni fasta tu mzigo chiniSikupatii picha ukiingia chooni aisee.
Hahah air fresher lazima ipulizwe nyingi sana hapo mkuu wangu.Nasindikiza na maji mengi nikienda toi ni fasta tu mzigo chini
kama kkoo siku hizi tunashinda njaa madukan....
Ukiyaweka jikoni yakachemka muda mrefu hayawi na harufu kabisaalizet tatizo lake harufu sio wote wanawez kuyapikia