Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Mi akinirudia leo hii nakubali ingawa ana watoto wawili tayariUtasikia oooh ukirudiana na ex wako ni ujinga mnayajua mapenz nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi akinirudia leo hii nakubali ingawa ana watoto wawili tayariUtasikia oooh ukirudiana na ex wako ni ujinga mnayajua mapenz nyie
Kwa JLO mabaharia wanapasiana kama volleyball.Koloni lake la zamani ilo
Wakiachana, p.didy nae arudishe majeshi kiporo chake Cha zaman icho[emoji4]
Heh!! Kumbe kurudia makoloni ipogo!!???...
DuhUtasikia oooh ukirudiana na ex wako ni ujinga mnayajua mapenz nyie
Haina makomboDah bishosti naye hazeeki.... kaamua kurudia makoloni!! Ila Ben naye ana moyo.... maana toka waachane msururu si haba toka P Diddy, Chris Juddy, Wiliam Levy hadi Mzee baba Marc Anthony,ila bora yeye kabutua mapacha kabisaa!!
Aliyeelewa hapa anifafanulieBen afleck hajawahi cheat ktk urafik wake yeye na mwanae Matt Damon tu, zaid ya hapo kila uhusiano lazima acheat..bahat yake ana pesa huyo jamaa ni wa hovyo
😂😂😂😂Hainaga makombo, nimeku quote ☺️
Kapasha kiporo motoView attachment 2182761
Baada ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda, hatimaye staa wa muziki Jennifer Lopez na muigizaji wa filamu za Hollywood, Ben Affleck wametangaza kuwa wachumba baada ya kuvalishana pete.
Wawili hao walirudiana mwaka 2021 baada ya uchumba wao wa awali kuvunjika mwaka 2004.
Lynda Lopezambaye ni dada wa Jennifer alipost picha ya wawili hao na kuwapa pongezi kwa maamuzi waliyochukua huku Jennifer akionekana kuwa na pete kidoleni.
Ikiwa watafunga ndoa itakuwa ni mara ya nne kwa Lopez, 52, na ya pili kwa Affleck, 49.
Jennifer aliwahi kufunga ndoa na Ojani Noa, Cris Judd na Marc Anthony ambaye alizaa naye watoto wawili pacha ambao ni Max na Emme wenye umri wa miaka 14.
Affleck alifunga ndoa na muigizaji Jennifer Garner na wawili hao wana watoto ambao ni Violet, 16, Seraphina, 13, na Samuel, 10.
Source: People
🤣🤣🤣🤣🤣Hela ikiwepo mbona yote yawezekana....ngoja nimrudie mpenzi wangu wa jfHeh!! Kumbe kurudia makoloni ipogo!!???...
Atakuwa katafuta migegedo lakini wapi haileti utamu kama mtibwa sugar ya bwana benUtasikia oooh ukirudiana na ex wako ni ujinga mnayajua mapenz nyie
🤣🤣🤣🤣Kila la kheri mwana🤣🤣🤣🤣🤣Hela ikiwepo mbona yote yawezekana....ngoja nimrudie mpenzi wangu wa jf
😂😂😂😂
Kwema?
Inapendeza kipenzi😘Kwema kabisa ☺️
Hata sijaelewa mkuuBen afleck hajawahi cheat ktk urafik wake yeye na mwanae Matt Damon tu, zaid ya hapo kila uhusiano lazima acheat..bahat yake ana pesa huyo jamaa ni wa hovyo
Hata sijaelewa mkuu