ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogš
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogš
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu