Rasmi derby ya kariakoo imekufa, Simba wamekuwa dhaifu kipindi kirefu

Rasmi derby ya kariakoo imekufa, Simba wamekuwa dhaifu kipindi kirefu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogšŸ•

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
 
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4
Tafuta kumbukumbu zako vizuri. Mwaka wa nne? Mwaka jana tu msimu ulivyoanza Simba aliishinda Yanga. Mwaka jana huo huo tarehe 16/04/2023 Simba ilishinda Yanga 2-0, magoli ya Inonga na Kibu. Sasa hiyo miaka minne inahesabiwaje?

1723145943369.png
 
Hivi unajua maana ya derby?

Unajua historia ya hivyo vilabu 2 vya Kariakoo?

Azam ana historia gani ya kiushindani kati yake na Yanga mpaka wanapokutana ndio iitwe derby?

Mavi matupu umeandika
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogšŸ•

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Wenzako wanatamba huko wana timu šŸ˜‚
 
Mimi siyo shabiki ila kiukweli Mo ni tatizo na Simba siyo team bali kusanyiko la wachezaji.

Ubaya ubaya!
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogšŸ•

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Huelewi maana ya derby. Kwa tafsiri yako, kuna siku itatokea Yanga na Mbeya City utaiita Kariakoo derby
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogšŸ•

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Naona kwako Derby ina maana tofauti.
London Derby (Chelsea Vs Arsenal) ipo na haifi.
Catalunya Derby (Barcelona Vs Malorca) haifi hata mmoja akiwa mdebwedo.
Milan Derby (AC vs Inter) hata mmoja alipopokwa point haikuteteleka.
Hiyo ni mifano na iko mingi. Huwezi kuua Derby Kwa unyonge wa mmoja. 2018-2021 kwenye peak ya Simba basi utani ungekufa. 1988/89 Simba alipokuwa anaelekea shimoni utani ungekufa.
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dogšŸ•

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Nanina wee jamaa hahahaa..eti wale wachezaji wenu marasta..simba chama la wahuni,kuanzia viongozi,mashabiki hadi dimbani.
 
Simba si mbaya sana sema chemistry ya wachezaji haijaungana vizuri, tuwape muda
 
Back
Top Bottom