Rasmi derby ya kariakoo imekufa, Simba wamekuwa dhaifu kipindi kirefu

Rasmi derby ya kariakoo imekufa, Simba wamekuwa dhaifu kipindi kirefu

Derby haiwezi kufa, ila ukubwa wa match (Classico) utaendelea kupungua na kuhamia kwingine (vs Azam FC). Ni kama derby ya Real Madrid vs Atletico Madrid sio match kubwa ila Real Madrid vs Barcelona sio derby ila ni El Classico (Biggest match of Spanish League).

Few years to come El Classico ya Bongo inaenda kuwa Young Africans vs Azam FC.
 
76966f73d9a143a1a90fe59008fb5dcb.jpg
 
Itakuwa jambo jema sana ikifa hiyo Derby, hapo ndipo potatokea mabadiliko makubwa katika sekta ya michezo.
 
Hivi unajua maana ya derby?

Unajua historia ya hivyo vilabu 2 vya Kariakoo?

Azam ana historia gani ya kiushindani kati yake na Yanga mpaka wanapokutana ndio iitwe derby?

Mavi matupu umeandika
Yanga vs Azam, Derby ya Dar es Salaam.
 
Kama hujui hata maana ya derby, huna haki ya kuongelea masuala yanayohusiana na michezo chura wewe.
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
nadhani marefalii ni chanzo
 
Derby haiwezi kufa, ila ukubwa wa match (Classico) utaendelea kupungua na kuhamia kwingine (vs Azam FC). Ni kama derby ya Real Madrid vs Atletico Madrid sio match kubwa ila Real Madrid vs Barcelona sio derby ila ni El Classico (Biggest match of Spanish League).

Few years to come El Classico ya Bongo inaenda kuwa Young Africans vs Azam FC.
Amkeni mtakojoa mtie aibu. Simba na Yanga ukubwa wake unatengenezwa na idadi ya mashabiki. Siku ukiona Simba haina mashabiki na Azam inajaza uwanja wa Mkapa bila kucheza na Simba au Yanga ndo ongelea suala la ukubwa wa mechi kuhamia kwingine.
 
Kariakoo derby haiwezi kufa kizembe kama hivo, Simba watakung'utwa na Yanga hadi akili ziwakae sawa kisha watajipanga. Haya yatatokea misimu miwili mbeleni kuanzia msimu huu
Mechi tatu mfululizo dhidi ya simba ikifungwa kocha atafukuzwa niliwasikia wanazi wa simba
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Hamna timu mle muzeye.
 
Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo

Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕

Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri

Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.

Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby

Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Ubaya,ubwegeeee
 
Naona kwako Derby ina maana tofauti.
London Derby (Chelsea Vs Arsenal) ipo na haifi.
Catalunya Derby (Barcelona Vs Malorca) haifi hata mmoja akiwa mdebwedo.
Milan Derby (AC vs Inter) hata mmoja alipopokwa point haikuteteleka.
Hiyo ni mifano na iko mingi. Huwezi kuua Derby Kwa unyonge wa mmoja. 2018-2021 kwenye peak ya Simba basi utani ungekufa. 1988/89 Simba alipokuwa anaelekea shimoni utani ungekufa.
Msamehe bure
 
Naona kwako Derby ina maana tofauti.
London Derby (Chelsea Vs Arsenal) ipo na haifi.
Catalunya Derby (Barcelona Vs Malorca) haifi hata mmoja akiwa mdebwedo.
Milan Derby (AC vs Inter) hata mmoja alipopokwa point haikuteteleka.
Hiyo ni mifano na iko mingi. Huwezi kuua Derby Kwa unyonge wa mmoja. 2018-2021 kwenye peak ya Simba basi utani ungekufa. 1988/89 Simba alipokuwa anaelekea shimoni utani ungekufa.
Catalunya derby ni Barcelona vs Espanyol, sio Mallorca.
 
Back
Top Bottom