Tafuta kumbukumbu zako vizuri. Mwaka wa nne? Mwaka jana tu msimu ulivyoanza Simba aliishinda Yanga. Mwaka jana huo huo tarehe 16/04/2023 Simba ilishinda Yanga 2-0, magoli ya Inonga na Kibu. Sasa hiyo miaka minne inahesabiwaje?Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4
PoleTafuta kumbukumbu zako vizuri. Mwaka wa nne? Mwaka jana tu msimu ulivyoanza Simba aliishinda Yanga. Mwaka jana huo huo tarehe 16/04/2023 Simba ilishinda Yanga 2-0, magoli ya Inonga na Kibu. Sasa hiyo miaka minne inahesabiwaje?
View attachment 3064901
jamaa kadata msameheTafuta kumbukumbu zako vizuri. Mwaka wa nne? Mwaka jana tu msimu ulivyoanza Simba aliishinda Yanga. Mwaka jana huo huo tarehe 16/04/2023 Simba ilishinda Yanga 2-0, magoli ya Inonga na Kibu. Sasa hiyo miaka minne inahesabiwaje?
View attachment 3064901
Wenzako wanatamba huko wana timu 😂Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Huelewi maana ya derby. Kwa tafsiri yako, kuna siku itatokea Yanga na Mbeya City utaiita Kariakoo derbyMechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Naona kwako Derby ina maana tofauti.Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Nanina wee jamaa hahahaa..eti wale wachezaji wenu marasta..simba chama la wahuni,kuanzia viongozi,mashabiki hadi dimbani.Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu