jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 556
- 830
Yanga vs Azam, Derby ya Dar es Salaam.Hivi unajua maana ya derby?
Unajua historia ya hivyo vilabu 2 vya Kariakoo?
Azam ana historia gani ya kiushindani kati yake na Yanga mpaka wanapokutana ndio iitwe derby?
Mavi matupu umeandika
🤣🤣🤣🤣🤣Tunamshukuru sana refa na wasaidiz wake., aibu kubwa ingetukuta wallah
nadhani marefalii ni chanzoMechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
PumbaYanga vs Azam, Derby ya Dar es Salaam.
Amkeni mtakojoa mtie aibu. Simba na Yanga ukubwa wake unatengenezwa na idadi ya mashabiki. Siku ukiona Simba haina mashabiki na Azam inajaza uwanja wa Mkapa bila kucheza na Simba au Yanga ndo ongelea suala la ukubwa wa mechi kuhamia kwingine.Derby haiwezi kufa, ila ukubwa wa match (Classico) utaendelea kupungua na kuhamia kwingine (vs Azam FC). Ni kama derby ya Real Madrid vs Atletico Madrid sio match kubwa ila Real Madrid vs Barcelona sio derby ila ni El Classico (Biggest match of Spanish League).
Few years to come El Classico ya Bongo inaenda kuwa Young Africans vs Azam FC.
Pacha, unaianza wiki kwa rahaMkuu wenyewe wanatamba huko eti hawana cha kuwadai wachezaji. 🤣🤣
Mechi tatu mfululizo dhidi ya simba ikifungwa kocha atafukuzwa niliwasikia wanazi wa simbaKariakoo derby haiwezi kufa kizembe kama hivo, Simba watakung'utwa na Yanga hadi akili ziwakae sawa kisha watajipanga. Haya yatatokea misimu miwili mbeleni kuanzia msimu huu
Yaani acha tu pacha.Pacha, unaianza wiki kwa raha
Hamna timu mle muzeye.Mechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Ubaya,ubwegeeeeMechi ya derby ya Leo Yanga tupo kama tumecheza na Namungo
Simba tumewafunga sana, yaani huu mwaka wa 4 mnakuja kwenye mechi kama under dog🐕
Derby hauvutii kabisa, Simba haina wachezaji wazuri
Wazee wa ubaya ubwela mnayumba.
Mara MUKWALA- ni striker mrefu kuliko goli kumbe mbumbumbu mnaibiwa.
Kwa Sasa Yanga vs Azam ndo derby
Simba tengeneza team, mo anawadanganya wale wachezaji wenu marasta hamna kitu
Msamehe bureNaona kwako Derby ina maana tofauti.
London Derby (Chelsea Vs Arsenal) ipo na haifi.
Catalunya Derby (Barcelona Vs Malorca) haifi hata mmoja akiwa mdebwedo.
Milan Derby (AC vs Inter) hata mmoja alipopokwa point haikuteteleka.
Hiyo ni mifano na iko mingi. Huwezi kuua Derby Kwa unyonge wa mmoja. 2018-2021 kwenye peak ya Simba basi utani ungekufa. 1988/89 Simba alipokuwa anaelekea shimoni utani ungekufa.
Catalunya derby ni Barcelona vs Espanyol, sio Mallorca.Naona kwako Derby ina maana tofauti.
London Derby (Chelsea Vs Arsenal) ipo na haifi.
Catalunya Derby (Barcelona Vs Malorca) haifi hata mmoja akiwa mdebwedo.
Milan Derby (AC vs Inter) hata mmoja alipopokwa point haikuteteleka.
Hiyo ni mifano na iko mingi. Huwezi kuua Derby Kwa unyonge wa mmoja. 2018-2021 kwenye peak ya Simba basi utani ungekufa. 1988/89 Simba alipokuwa anaelekea shimoni utani ungekufa.