RASMI ERRE GOLA MFALMEA WA RHUMBA DUNIA. AJAZA STADE MARTYRS.. Watu zaidi ya 200,000

RASMI ERRE GOLA MFALMEA WA RHUMBA DUNIA. AJAZA STADE MARTYRS.. Watu zaidi ya 200,000

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Tarehe 24.06.2023 Imetokea tukio kubwa sana katika ulimwengu wa Burudani ya mziko pale Nchini Congo. Ilikua ni onesho la karne la muziki pendwa duniani.
Le Padre , Shetani Ferre Gola mwana wa Congo alikusanya Malaki ya binadamu hai wenye pumzi na akili.
Ni katika kutaka kukara kiu ya muziki walio ukosa kwa miaka mingi sana.
Onyesho hili wakati limenza kutangaza Kuna watu walibeza na wengine kupingiana kama ataweza kujaza hata busy ya uwanja mkuu wa Taifa la Congo STADE de Martyrs.

Saa dakika siku sikasonga na hatimae ukafaika wakati wa kukata kiu ya karne.
Kulitokea mafuriko ambayo hayakuwahi kushuhudiwa. Watu walijaa mpaka wengine KUKOPA pahala pakuweka unyayo.

Ferre Gola aliimba nyimbo zake zote mwanzo mpaka mwisho.
Watu alikua na kiu ya Rhuma ya ukweli Rhuma ya Baba Franco. Rhumba ya Congo Original. Ferre Gola anaaminika ndiye mrithi sahihi wa RHUMBA ya Congo.
Watu wazima walilia kwa furaha .
Wengine walikanyagana mpaka kupata majeruhi. Hii ilisabababishwa na polisi walio kuwepo kuacha kazi Yao na kujikuta wanasakata RHUMBA.
Hali ilikua Raha sana zaidi ya utamu. Ingia YouTube au TikTok ujionew. Video hizi hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20230626-174120.jpg
    Screenshot_20230626-174120.jpg
    111.9 KB · Views: 19
  • 641f830f8abb8bf8a9461fadab53cf4b.mp4
    4.1 MB
  • 87ef6b130cb16119e863f2800165d36e.mp4
    11.7 MB
  • 641f830f8abb8bf8a9461fadab53cf4b.mp4
    4.1 MB
  • 3e191a77bca8725e26ce97637b77953a.mp4
    7 MB
Tuanze na wewe shunie akee, unamkubali fally ama ferre gola?
Alooh me nampenda fally vibaya mnoo nisiwe muongo na nyimbo yake ya mayday ni nyimbo ambayo naisikiliza siku nzima nikiwa na mda huwa nairudia tu
 
Hivi tetesi za kumtoa mdogo wake kafara sijui ziliishia wapi

Wakulungwa walianza kuhusisha kifo cha mdogo wa Fere na hili tamasha
 
Hivi tetesi za kumtoa mdogo wake kafara sijui ziliishia wapi

Wakulungwa walianza kuhusisha kifo cha mdogo wa Fere na hili tamasha
Kama hili tamasha linahusiana na kifo Cha mdogo wake basi kweli kafanikiwa. Lakini nilichogundua ni kwamba Wakongo wanamis rhumba asilia . Fally anafanya modern rhumba wakati Ferre anafanya root Rhumba ya akina Franco. Ferre anaimba kuhusu harakati za maisha na mapenzi wakati Fally anaimba sana mapenzi.
 
Back
Top Bottom