Kama ni kweli anataka kutoka atoke tu, akatafute maisha kwengineKwa hiyo ww kinachokuuma Mama Diamond kubadilisha magari na Mondi kujenga Mansion.
Acha kuwa kigeugeu,key point yako ni kwamba atoke wcb sababu ananyonywa na kuwatajirisha wenzake,na wala sio atoke wcb eti akaendeleze vipaji vya wenzake....by the way have a good morning!!Ndio hicho kinachotakiwa naye akatafute maisha kwengine atengeneze wcb yake atoe wasanii wake tuwe kama Nigeria
Kwa hiyo ww kimekuuma Diamond kujenga Mansions na mama yake kubadilisha magari?Kama ni kweli anataka kutoka atoke tu, akatafute maisha kwengine
Kama ni kweli anataka kutoka atoke tu, akatafute maisha kwengine brazaKwa hiyo ww kimekuuma Diamond kujenga Mansions na mama yake kubadilisha magari?
Mbona Harmonize ana badilisha Magari kila siku na Wazazi wake kawapa Harrier kila mmoja,manake sioni uhusiano kati ya vitu anavyomiliki Diamond na mada hii husika au UNACHUKIA DIAMOND KUMILIKI MANSIONS NA MAMA YAKE KUBADILISHA MAGARI?
Ndio hicho hicho mkuu, tenga un buen díaAcha kuwa kigeugeu,key point yako ni kwamba atoke wcb sababu ananyonywa na kuwatajirisha wenzake,na wala sio atoke wcb eti akaendeleze vipaji vya wenzake....by the way have a good morning!!
kutoka hata mimi nimekubali na ni swala zuri sana,ila sijaona mahusiano kati ya kumchukia Diamond kumiliki mansions na Mama yake kumiliki magari na kutoka kwake Harmonize WCB au Harmonize akitoka Mondi hataongeza mansions na mama yake hato badilisha magari?Kama ni kweli anataka kutoka atoke tu, akatafute maisha kwengine braza
Anawezea wapi????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15]Harmonize anajifanya na yeye anauwezo wa kumbrand msanii yoyote na akashine hahahahahahahahah Q chief huyu hapa ametoa nae vingoma karibia 5 vyote ni 0 kama anajiamini amekuwa Brand ana Fans base ya kutosha amrudishe Chillah kwenye tuone
Usiutumie uhuru wako wa kuongea vibayaNani harmonize ?? Kwa taharifa yako ata kiba Na diamond hawamfikiy uyo mumakonde sasa
Kwingine wapi?Kama ni kweli anataka kutoka atoke tu, akatafute maisha kwengine
Kwa Ally kiba😊Kwingine wapi?
We ni shabiki mandazi