Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Funga na acc kabisa.Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini.
Upo kasi sana hafu umekamia game utaiweza kweli?Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. ππ
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Huna popote unapoenda, soon utarudi tu humu.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. ππ
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Natambaa kimaukweli maisha yanasongaUnataka ujikite ndoani!
Ni vizuri maana Sasa unavua vazi la upweke rasmi
Nifafanulie sijaelewaUpo kasi sana hafu umekamia game utaiweza kweli?
Eh hayaMtaachana tuu... Hizo ni nyege.. Sasa Jf na ndoa zinamuingiliano gani... Punguza wenge binti...
Huna popote unapoenda soon utarudi tu humu.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. ππ
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower