Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .

Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Usisahau Mara moja moja kutusabahi...

Hiki kipind nilicho pata ajar ndio nimekua karibu sanaa na wife Kuna muda nakua busy na simu humu Jf mpaka ananambia

For sure JF Ni nyumbani Ni familia moja...we will miss you
 
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .

Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. 😒😒

Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Ndoa ndoano.
Nyenyekea mkuu, zinapotea hizo.

Hongera.
 
Back
Top Bottom