Rasmi Ibrahim Ajib Migomba atia saini kuitumikia yanga miaka 2


Yanga inaongozwa kizee sana, viongozi waliopo hawaenda na mfumo wa soka la kisasa..

Tazama Azam, Mbeya Situ, Singida United na Simba wanavyowatambulisha wachezaji wao, mdhamini anapata mileage kutokana na brand zinazofanyika, Singida United ya juzi tu lakini press zao kuna banner za wadhamini wao puma, nmb, sportpesa, orxy.

Yanga viongozi wanawaza kuuza sura tu kwenye camera, mchezaji anasaini mkataba mbele ya viongozi sita wote wana kazi gani?

Hatuoni vilabu vingine vinavyofanya? Mkataba wanasaini watu wawili ila kuna jaa watu kibao kuuza sura tu, huu ni ushamba.

Yanga inadilike, kama mdhamini sportpesa anayetoa mil 950 kwa mwaka unahsindwa kumtanbaza, unategemea utapata wapi wadhamini wengine?
 
Si habari njema kwa upande wa pili...
Aliondoka Ronaldo pale man u sembuse ajibu, kwani nyinyi mlitaka akitoka simba aende WAP? Ile ni kazi yake yuko tayar kufanya kaz na club yoyte na cyo yanga na simba tu, hebu mashabiki tufike mahala na sis tuwe waelewa kidogo basi, Simba nguvu moja.
 
August 19 mechi na mikia..1)Youthe Rostand2)Abdul 3)Mwinyi 4)Yondani 5)Canavaro 6)Moyo 7)Raphael Alpha 8)Kamusoko 9)Tambwe 10)Ngoma 11)Ajibu au Chirwa.....Mnyamaaa kajipangeee
 
August 19 mechi na mikia..1)Youthe Rostand2)Abdul 3)Mwinyi 4)Yondani 5)Canavaro 6)Moyo 7)Raphael Alpha 8)Kamusoko 9)Tambwe 10)Ngoma 11)Ajibu au Chirwa.....Mnyamaaa kajipangeee
Y chirwa mnamsahau Hv?
 
Hata hivyo ajibu hayuko vizuri kisaikolojia ..
Yaani kijana Simba Sports, imemlea imemkuza anafikia kilele cha mafanikio anahamia timu pinzami ili awafunge walezi wake..!
Ni bora Simba Sports imeachana na kulea vijana wa mpira.
Unamlea mtu vizuri kumbe anamapenzi na mhasimu wako wa mpira.
Amog alikuwa sahihi kumuweka benchi kwenye baadhi ya mechi.
Tunamtakia mafanikio mema huko anakoenda madhani atafurahia kufanya kazi kwenye timu anayoipenda.
 
August 19 mechi na mikia..1)Youthe Rostand2)Abdul 3)Mwinyi 4)Yondani 5)Canavaro 6)Moyo 7)Raphael Alpha 8)Kamusoko 9)Tambwe 10)Ngoma 11)Ajibu au Chirwa.....Mnyamaaa kajipangeee
Hivi mmewahi kushinda hata match 1 tu tangu unaandika comment hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…