Rasmi jana Kundi la Simba limeumaliza Mwendo

Bado Simba imefanya vizuri sana.

Hata hao watakao chukua kombe kuna miaka waliumaliza mwendo. Na bingwa lazima abaki kuwa mmoja tu.

Simba ikijipanga vizuri zaidi, kombe linachukulika hata mwakani tu.

Ningetamani kocha abaki miaka miwili zaidi, safu ya ulinzi, kati na ushambuliaji iimarishwe zaidi.

Hatukwenda nusu fainali mwaka huu, tujipange mwakani tuende.

Huyu ni Simba predator, kuacha kitoweo ni mbinu za kupumzika tu, hatimae kitoweo kitatafunwa tu.
 
Mashabiki wa simba wana midomo utafikiri wamezaliwa na mama, baba mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…