Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Mkuu uliangalia kweli mpira? Mamelod walitengeneza nafasi nyingi sana ambazo zilikuwa clear goal.
Nikweli, lakini hapa nachozungumzia mkuu ni umiliki wa mpira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uliangalia kweli mpira? Mamelod walitengeneza nafasi nyingi sana ambazo zilikuwa clear goal.
Unambishia takwimu!!!?...acha unazi wa kijingaMkuu uliangalia kweli mpira? Mamelod walitengeneza nafasi nyingi sana ambazo zilikuwa clear goal.
Ni kweli umiliki wa mpira Al Ahly ameongoza 63 kwa 37Nikweli, lakini hapa nachozungumzia mkuu ni umiliki wa mpira.
Unajua kila mtu anatafsiri kuzidiwa kwa angle ansyoiona yeye. Lakini kwangu mimi kumzidi mpinzani wako sio kuwa na possession kubwa bali ni idadi ya nafasi zinazotengenezwa. Alichofanikiwa Al Ahly ni kupiga pasi tu ambazo hazikuwa na madhara kwa Mamelod. Lakini Mamelod pamoja na kutokuwa na passesion kubwa ila ndio aliyeongoza kwa kutengeneza nafasi nyingi za magoli. Kama sio uimala wa kipa wa Misri magoli yangekuwa mangapi? Angalia statics zote halafu itimisha mwenyewe nani aliyeelemewa.Unambishia takwimu!!!?...acha unazi wa kijinga
Sisi tuna danganyana mara league yetu ni bora , sijui team gani ni ya 10 kwa utajiri duniani, kwenye uongo ukweli hua unapita mbaliHivi makocha wetu mbona hawana demand nje ya mipaka ya Tanzania? warundi, wakongo, wakenya, leo hata wasomali wanatufunza soka! kwann isiwe na sisi huko kwao?