Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Soma Pia: Kocha wa Azam keshapewa thank you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Menejimenti ya azam ni wadogo zake watano wa damu na baba yake mdogoKwa Azam tatizo linaanzia kwenye management
Yusuph Bakhressa siku atayoamua ku fire management ya wazawa na kuweka watu wa mpira kutoka mataifa mengine nadhani kuna changes ataziona.
Sababu ya kufanya hivyo inatokana na kwamba watanzania wote tuna interest na vilabu viwili tu.
Sasa inapokuja suala zima la uongozi kwenye hizi timu zingine ukaweka wazawa maana yake ipo nafasi kubwa ya wao kusukumwa na mahaba ya hizo Club na kwenda kuihujumu timu ambayo imewaajiri.
Hilo nalo lina changamoto yake. Matajiri wetu wamezowea kufanya kazi na walio watiifu kwao hata kama ni kinyume na alumna, Sheria na maadili. Kwa hivyo benchi la kutoka nje ya nchi siyo hoja, hoja ni iwapo litaweza kusimamia lililo sahihi kwao na kwa taaluma yao, au litafuata matakwa ya tajiri ilimradi tu mkono wende kinywani.Kwa Azam tatizo linaanzia kwenye management
Yusuph Bakhressa siku atayoamua ku fire management ya wazawa na kuweka watu wa mpira kutoka mataifa mengine nadhani kuna changes ataziona.
Sababu ya kufanya hivyo inatokana na kwamba watanzania wote tuna interest na vilabu viwili tu.
Sasa inapokuja suala zima la uongozi kwenye hizi timu zingine ukaweka wazawa maana yake ipo nafasi kubwa ya wao kusukumwa na mahaba ya hizo Club na kwenda kuihujumu timu ambayo imewaajiri.
Mi sijazungumzia eneo dogo la benchi la ufundi.Hilo nalo lina changamoto yake. Matajiri wetu wamezowea kufanya kazi na walio watiifu kwao hata kama ni kinyume na alumna, Sheria na maadili. Kwa hivyo benchi la kutoka nje ya nchi siyo hoja, hoja ni iwapo litaweza kusimamia lililo sahihi kwao na kwa taaluma yao, au litafuata matakwa ya tajiri ilimradi tu mkono wende kinywani.
Kauli ya Dube haikuwa uongo ujue.Menejimenti ya azam ni wadogo zake watano wa damu na baba yake mdogo
Atawafukuzaje mkuu?
Hapo azam tatizo ni kaka yao mkubwa yule ndio tatizo mbaya zaidi yeye ndio boss yule mtoto wa bakhresaKauli ya Dube haikuwa uongo ujue.
Hapo sasa atachagua mwenyewe aiache timu ijiendeshe kwa namna mbovu ya viongozi kufurahia kupoteza mechi dhidi ya Simba au Yanga ili kulinda undugu.
Au akubadili mabadiliko ya kuwaweka watu wasiokuwa na upande ili wao wasimame kama waajiriwa wa hiyo Club afikie malengo.
Mahaba vs 5M mshahara?Kwa Azam tatizo linaanzia kwenye management
Yusuph Bakhressa siku atayoamua ku fire management ya wazawa na kuweka watu wa mpira kutoka mataifa mengine nadhani kuna changes ataziona.
Sababu ya kufanya hivyo inatokana na kwamba watanzania wote tuna interest na vilabu viwili tu.
Sasa inapokuja suala zima la uongozi kwenye hizi timu zingine ukaweka wazawa maana yake ipo nafasi kubwa ya wao kusukumwa na mahaba ya hizo Club na kwenda kuihujumu timu ambayo imewaajiri.
Niende wapi sasa broManchester United wanakwama wapi kumfuta Ten Hag's!
Ni sahihi. Refer kile Dube alichokiongea.Kwa Azam tatizo linaanzia kwenye management
Yusuph Bakhressa siku atayoamua ku fire management ya wazawa na kuweka watu wa mpira kutoka mataifa mengine nadhani kuna changes ataziona.
Sababu ya kufanya hivyo inatokana na kwamba watanzania wote tuna interest na vilabu viwili tu.
Sasa inapokuja suala zima la uongozi kwenye hizi timu zingine ukaweka wazawa maana yake ipo nafasi kubwa ya wao kusukumwa na mahaba ya hizo Club na kwenda kuihujumu timu ambayo imewaajiri.
Wajinga tuu ndio wanamahaba na vilabu hivyo viwili baada ya mpunga.Kwa Azam tatizo linaanzia kwenye management
Yusuph Bakhressa siku atayoamua ku fire management ya wazawa na kuweka watu wa mpira kutoka mataifa mengine nadhani kuna changes ataziona.
Sababu ya kufanya hivyo inatokana na kwamba watanzania wote tuna interest na vilabu viwili tu.
Sasa inapokuja suala zima la uongozi kwenye hizi timu zingine ukaweka wazawa maana yake ipo nafasi kubwa ya wao kusukumwa na mahaba ya hizo Club na kwenda kuihujumu timu ambayo imewaajiri.
Popat ni nani yake???Menejimenti ya azam ni wadogo zake watano wa damu na baba yake mdogo
Atawafukuzaje mkuu?