Niko njiani mkuu. Mpira wa bongo wa Kisenge sana. Badala watu muende mbele mnarudi nyuma.
shenzzzy
asante kwa kumuibuaUmefanya vyema Mkuu,ni bora ukajikita huku
Nahitaji msaada, kibamia kinanitesa sana
Imefikia hatua nawaogopa sana mabinti warefu na wale wenye maumbo makubwa kwa dhana kuwa nitaumbuka lakini nimegundua hata hawa wafupi habari yao si haba. Baada ya tendo, wengi wameonesha kunidharau wazi, mmoja amewahi kuniambia eti iko kama PIRITON. Najisikia vibaya sana wakuu, kama kuna...www.jamiiforums.com
We si mzee wa kurekebisha, usikimbie.... Embu rekebisha mambo hapo mikianiNiliipenda sana timu yangu hii, lakini kutokana na mambo yanayofanya na baadhi
ya Viongozi nimeamua kujiondoa Simba. Ni mimi Mzee wa Kurekebisha wa hapa
Jamii Forums, nawaachia timu kina MO.
Niliipenda sana timu yangu hii, lakini kutokana na mambo yanayofanya na baadhi
ya Viongozi nimeamua kujiondoa Simba. Ni mimi Mzee wa Kurekebisha wa hapa
Jamii Forums, nawaachia timu kina MO.