RASMI: Kwa Nini Marehemu Kachero Mbobezi Hakukimbia Zile Kampeni?.

RASMI: Kwa Nini Marehemu Kachero Mbobezi Hakukimbia Zile Kampeni?.

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
IMG_20230512_202148.jpg

Tulikuwa tumekaa sehemu tunatafakari safari yetu ya maisha kwa hizi piga nikupige za hapa na pale, baadaye tunasoma breaking story ya kifo cha camaraderie Bernard Camirius Membe.

Binafsi nilienda moja kwa moja kwenye kumbukukumbu za kampeni za urais mwaka ule ambao marehemu aliondoka kwa gafla kwenda ughaibuni, wengi walimpiga mawe kwamba alichemka.

Papo kwa hapo (leo) nikapata jibu pasi shaka late kachero mbobezi hakukimbia kampeni ila ilikuwa ni issues za kiafya.

Maisha yetu binaadamu ni kificho kwetu na afya zetu ni hazina ambayo kila mtu anajijua alivyo ni mwenyezi Mungu tu ndiye anapanga na kupangua.
 
Yule jamaa alikuwa overrated tu. Nilipoona tu mtu anayejitambulisha ni daktari wao wa familia, nikajua BKM hakuwa kachero kivile. Alikuwa muongeaji mzuri, ila hakuwa mchunguzi mzuri. Alikuwa overrated.
 
Binafsi nilienda moja kwa moja kwenye kumbukukumbu za kampeni za urais mwaka ule ambao marehemu aliondoka kwa gafla kwenda ughaibuni, wengi walimpiga mawe kwamba alichemka.
Huku nyuma viongozi wake wakaanza kumlaumu kwanini haonekani kwenye kampeni, akawajibu wasubiri dakika ya 89:59
 
Yule jamaa alikuwa overrated tu. Nilipoona tu mtu anayejitambulisha ni daktari wao wa familia, nikajua BKM hakuwa kachero kivile. Alikuwa muongeaji mzuri, ila hakuwa mchunguzi mzuri. Alikuwa overrated.
Binafsi nimekuelewa mkuu
 
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.

Ayubu 14:1
Mstari huu wa Biblia , umewaua watu wengi sana pale SHAKA HOLA.

NOTE: Andiko linaua, Neno hutupa uzima wa milele. Msiwe mnabeba maandiko kama yalivyo ....mtaumiza watu!
 
Yule jamaa alikuwa overrated tu. Nilipoona tu mtu anayejitambulisha ni daktari wao wa familia, nikajua BKM hakuwa kachero kivile. Alikuwa muongeaji mzuri, ila hakuwa mchunguzi mzuri. Alikuwa overrated.
Hata nilishangaa kachero mbobezi akadunguliwa mawasiliano kizembe vile? Bila kujua?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Umeambiw na daktari hawahi kuwa na kisukari, pressure nk nk.

Acha kujitungia.
 
Vipi kuhusu yule malaika wenu wa kule kitovuni chattle mnamzungumziaje ndugu wanabodi
 
Huku nyuma viongozi wake wakaanza kumlaumu kwanini haonekani kwenye kampeni, akawajibu wasubiri dakika ya 89:59
Mkuu jamaa alikuwa mgonjwa tu.
 
Yule jamaa alikuwa overrated tu. Nilipoona tu mtu anayejitambulisha ni daktari wao wa familia, nikajua BKM hakuwa kachero kivile. Alikuwa muongeaji mzuri, ila hakuwa mchunguzi mzuri. Alikuwa overrated.
Kwanini?
 
View attachment 2619417
Tulikuwa tumekaa sehemu tunatafakari safari yetu ya maisha kwa hizi piga nikupige za hapa na pale, baadaye tunasoma breaking story ya kifo cha camaraderie Bernard Camirius Membe.

Binafsi nilienda moja kwa moja kwenye kumbukukumbu za kampeni za urais mwaka ule ambao marehemu aliondoka kwa gafla kwenda ughaibuni, wengi walimpiga mawe kwamba alichemka.

Papo kwa hapo (leo) nikapata jibu pasi shaka late kachero mbobezi hakukimbia kampeni ila ilikuwa ni issues za kiafya.

Maisha yetu binaadamu ni kificho kwetu na afya zetu ni hazina ambayo kila mtu anajijua alivyo ni mwenyezi Mungu tu ndiye anapanga na kupangua.
Wee metal mada hii wakati huu ni mwehu!!!!
 
Back
Top Bottom