RASMI: Kwa Nini Marehemu Kachero Mbobezi Hakukimbia Zile Kampeni?.

Kama ndivyo mbona hakukimbia tena mpaka kafia machakani na ubobezi feki wake????
 
Yule jamaa alikuwa overrated tu. Nilipoona tu mtu anayejitambulisha ni daktari wao wa familia, nikajua BKM hakuwa kachero kivile. Alikuwa muongeaji mzuri, ila hakuwa mchunguzi mzuri. Alikuwa overrated.
Kabisa, na ndivyo ilivyo
 
@TODAYS ! Hata wewe pia una wakati wako bila ya shaka
Ndiyo maana hara maandiko yanaelezea mtiririko wa maisha kuna kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kisha kufa (nk).

So wakati ule wazo hili halikuwepo ila ndiyo huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…