Rasmi, leo ndio siku ya kuanza kudhulumiwa na Azam TV

Rasmi, leo ndio siku ya kuanza kudhulumiwa na Azam TV

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Wakuu,

Azam Media wamekua wakijitangaza kua wameshusha Bei ya vifurushi vyao kuanzia leo.

Asubuhi hii nimelipia kifurushi Cha 20,000/- ambayo ndio iliyokua 23,000/- lakin nimekuta channels kadhaa hazionyeshi. Baby TV, ESPN1, ESPN2, MBC4, Nickoledion Zote hizi nilikua nazipata kwenye kifurushi Cha 23,000/-.

Huu Ni zaidi ya wizi, serikali iko kimya kana kwamba imebariki huu wizi. Ni heri waache bei ileile lakin warudishe channels zilizokuwepo kabla.
 
Acheni kulialia, full package 28,000/- tu mnaona kudhulumiwa... kwa DsTV hiyo ni kifurushi cha Family tu!
 
Nimelipia kifurushi cha 18,000/= mpira hamna inabidi niongeze hela na huku wanasema wameshusha vifurushi
 
Azam wana bei nzuri sana yaani elfu 28 unapata full package, wakati huku Startimes full package ni elfu 36, pia Dstv ndo balaaa
 
Azam wana bei nzuri sana yaani elfu 28 unapata full package, wakati huku Startimes full package ni elfu 36, pia Dstv ndo balaaa
Inategemea hiyo full package inahusisha Nini. Bei g ya Vitz full package haiwezi kua sawa na bei ya BMW X6 full package
 
Back
Top Bottom