Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amesema Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kuanzia Juni 13, 2020 baada ya kusimama kwa zaidi ya miezi 2
Amesema ratiba ya kuendela na Ligi hiyo iliyosimama kutokana na janga la COVID19, itatolewa wiki hii Jumapili, Mei 31, 2020
Amesema ratiba ya kuendela na Ligi hiyo iliyosimama kutokana na janga la COVID19, itatolewa wiki hii Jumapili, Mei 31, 2020