Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Beki huyo wa kushoto wa Yanga amemalizana na klabu yake hiyo baada ya kumalizika kwa msimu wa 2023\2024
Ambapo uongozi wa Yanga walitaka kumpa mkataba mpya wa mwaka mmoja lakini Lomalisa aliomba kuondoka klabu hapo nakwenda kutafuta changamoto mpya.
Lomalisa ambaye amecheza kwa mafanikio ndani ya misimu miwili ndani ya timu hiyo ya Yanga ikiwemo kuisaidia Yanga kubeba mataji ya ligi kuu ya NBCPL na FA
Na sasa Uongozi wa Yanga wameanza kutafuta mbadala wake ambaye anayezungumziwa ni Beki ya kushoto ya kazi kutoka Asante Kotoko ya Ghana Ibrahimu Imoro.
Ambapo uongozi wa Yanga walitaka kumpa mkataba mpya wa mwaka mmoja lakini Lomalisa aliomba kuondoka klabu hapo nakwenda kutafuta changamoto mpya.
Lomalisa ambaye amecheza kwa mafanikio ndani ya misimu miwili ndani ya timu hiyo ya Yanga ikiwemo kuisaidia Yanga kubeba mataji ya ligi kuu ya NBCPL na FA
Na sasa Uongozi wa Yanga wameanza kutafuta mbadala wake ambaye anayezungumziwa ni Beki ya kushoto ya kazi kutoka Asante Kotoko ya Ghana Ibrahimu Imoro.