mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Usajili wa kubana matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mafanikio uanzia chini kwenda juu.katoka Caostal anaenda Simba timu bora Africa nafasi ya 12.Fundi wa mafundi ndy aanzie carrier yake coastal kutoka Nigeria?? Wewe utakuwa mbumbumbu wa kiwango cha PhD hahahaaaa
dah!/Huyu kiungo hana thamani ya milioni 100! Kwangu mimi namuona ni mchezaji wa kawaida tu.
Kwa mtazamo wangu, mlitakiwa kutumia kiasi kisichozidi milioni 50 kwa huyu mchezaji! Ila siyo milioni 100 aisee!
Milioni tatu na nusu zinamtosha.Kwa mfano makadirio halisi we unaona uyu kiungo fundi wa mafundi anaweza kuwa shilingi ngapi?
Fact! Na Simba akiperform vzr kimataifa timu zingine zitatafuta saini yake. Ndo maisha ya soka inavyotakiwamafanikio uanzia chini kwenda juu.katoka Caostal anaenda Simba timu bora Africa nafasi ya 12.
Acheni dharau mpira ni maisha mjue.muacheni Akpan kiungo fundi abebe uo mzigo wa m100 kwanza Simba pesa sio tatizo.Milioni tatu na nusu zinamtosha.