ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
[emoji116][emoji116][emoji116]Hao ni Yanga au KMC? mbona unachanganyikiwa vibaya sana na kipigo cha 3-0 na mimosas?
Kashabikie rede kama hata hujui sura za wachezaji wa timu unayoshabikia.Mbuzi na simba hatuwezi kaa Zizi moja baada ya kuona hili [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2160241 hatimaye nimejitoa naombeni kujua kadi ya uanachama wanairudisha wapii
mtu wenu huyo muhandle taratibuYaani ulipochukulia kadi unapajua, halafu pakurudisha upajui.
Mbuzi na simba hatuwezi kaa zizi moja baada ya kuona hili [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hatimaye nimejitoa naombeni kujua kadi ya uanachama wanairudisha wapi.
View attachment 2160241
Kuna wanachama/washabiki wenzetu wa Yanga wametangulia mbele ya haki, na hatunao kwenye kuishabikia timu yetu... Mimi nahesabu hivyo...Mbuzi na simba hatuwezi kaa zizi moja baada ya kuona hili [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hatimaye nimejitoa naombeni kujua kadi ya uanachama wanairudisha wapi.
View attachment 2160241
Wewe ni KOLO tuMbuzi na simba hatuwezi kaa zizi moja baada ya kuona hili [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hatimaye nimejitoa naombeni kujua kadi ya uanachama wanairudisha wapi.
View attachment 2160241
Fc tulia jomba[emoji23][emoji23]Wewe ni KOLO tu
Hapana sitoipenda daimaUkiipenda Yanga lazima uipende na CCM sababu ya rangi zake!
Cha kuchekesha ni kwamba mashabiki mnamtukana shabiki mwenzenu [emoji23][emoji23][emoji23]