King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Yes ndiyo maana nikasema hali ya uchumi mbaya kwako tu siyo kwa wote.hatufanani sasa
Uwapangie wazungu masharti wakati mafuta ni yao?Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
kwani nimesemea mtuu broo
Boroo nisikukosee adabu jua time.zako ili tuendelee kuheshimiana
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda mama samia suluhu unapo tupeleka wewe una jua.....
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda........
Ndio mkome๐๐๐๐Mama Anaupiga Mwingi...hapo bado Hajaingia ndani ya kumi na nane!
Yupo katikati ya Uwanja, tusubiri kibano zaidi Atapoingia ndani Ya 18 golini mwetu.....!
Kutaja machache yanayoonyesha mbungi linapigwa Jingi.....!
Tozo La Uzalendo anakamua bila kulitolea jasho.
Machinga Wanachafua Mji.
Bei ya Wese juu.
Ziraeli Mtoa Roho ana sisi WaTz, Kazi tunayo..!
Unafikiri Kuna mwenye Hilo wazo huko serikalini?Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Utapoteza zaidi badala ya kusave.. Mafuta yakipanda kila kitu kinapanda bei, hivyo uamuzi wa kuegesha gari hautakupa unafuu wowotekutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda........
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda........
Ungeliuza kabisa. Gari kama siyo la biashara ni njia moja wapo ya kuongeza umasikini hususani miongoni mwa tabaka la kati.
Mimi niliamua kuuza gari langu kama sehemu ya mkakati wa kujikimboa kiuchumi, hakika sijutii.
Anahusika hata kama huko duniani yamepanda.Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda