Rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari

Rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari

Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Uwapangie wazungu masharti wakati mafuta ni yao?
 
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda mama samia suluhu unapo tupeleka wewe una jua.....

Wewe hata huo mkebe huna.. kama reasoning yako inakwambia Mama ndo kapandisha bei ya mafuta...
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]mama
Alafu leo nimepata nimegombana na raisi hivi ndoto hy inaashiria nn

Wakuu
SGN_11_26_2021_1637934876563.jpg
 
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda........

Nina milion 4 niuzie hyo gar
 
Mama Anaupiga Mwingi...hapo bado Hajaingia ndani ya kumi na nane!
Yupo katikati ya Uwanja, tusubiri kibano zaidi Atapoingia ndani Ya 18 golini mwetu.....!
Kutaja machache yanayoonyesha mbungi linapigwa Jingi.....!
Tozo La Uzalendo anakamua bila kulitolea jasho.
Machinga Wanachafua Mji.
Bei ya Wese juu.

Ziraeli Mtoa Roho ana sisi WaTz, Kazi tunayo..!
Ndio mkome😂😂😂😂
Mpaka 2035 mtajamba cheche
 
Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Unafikiri Kuna mwenye Hilo wazo huko serikalini?
Wao Ni ku import sukari, kuimport mafuta, kuimport nguo n.k
Sasa utaona tuta export mafuta ya Uganda kupitia TANGA. Yataenda kusafishwa Dubai Kisha tutaya import mafuta hayo hayo kwa Bei mbaya.
 
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda........
Utapoteza zaidi badala ya kusave.. Mafuta yakipanda kila kitu kinapanda bei, hivyo uamuzi wa kuegesha gari hautakupa unafuu wowote
 
kutokana na hali ya uchumi ...mafuta yame panda bei vilivyo leo nimeamua kujinyima nikaweka mkebe wangu walau lita 10 za kupashia injini tuu kila baada ya siku saba lkn rasmi nimeamua kupak sitatumia tena gari labda ubber dala dala na boda boda........

Ungeliuza kabisa. Gari kama siyo la biashara ni njia moja wapo ya kuongeza umasikini hususani miongoni mwa tabaka la kati.

Mimi niliamua kuuza gari langu kama sehemu ya mkakati wa kujikimboa kiuchumi, hakika sijutii.
 
Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Anahusika hata kama huko duniani yamepanda.

Kumbuka juzi kati hapo walipandisha na wakaja na njia yao ya kununua or kuagiza moja kwa moja mafuta as serikali kuepusha ulanguzi na kupanda bei olela, leo tena nini hiki!.
 
Back
Top Bottom