Rasmi nimeamua kupaki sitatumia tena gari

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ukiwa na ndinga ivi vi 20,000/= avikai kbsa mfukoni

Alafu kila siku kuna matumizi kibao yasiyo ya lazim, misafari yasiyokuwa na faida ndo usiseme. Hapo sijagusia idadi ya michepuko ambayo ndo gharama sasa zaidi na sumu kubwa ya maendeleo.

Gari siyo uwekezaji labda kama ni ya biashara.
 
Wakuu hamna mtu ana namba za iziraeli tumushitue afanye yake
Maana kwa miaka mingi amekua akituondolea lidazi korofi katika nchi mbalimbali atatulaza njaa huyu
 
Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Ungeweza kufikiria juuu ya ges hilo wazo ungeliweka mfuko wa nyuma.
 
Kuna madili ya wafanyabiashara hapo kipindi cha magufuli walibanwa mno
 
Nchi taratibu inafunguka.. Jiwe aliibana sana hii nchi ona mama anavyoupiga mwingi... Jaman tuendelee kumuunga mkono mama hakika ametuokoa toka kwenye makucha ya Simba.

Sasa wakifanya kile kipimo chao cha kupima furaha kwa wananchi watapata 90% wana furaha tena iliyopitiliza tena hasa raia wa hapo Dar.

Asante mama, endelea kufungua nchi, tulibanwa sana, yaan kipindi cha Jiwe vyuma vilikaza sana kwa sasa twakushukuru mama.

Kazi iendelee!!!!
 
Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Hizo tozo za ndani, zipo kwenye soko la dunia..!?
 
Unamtishia Nani?
 
Tuambie na plan Yako kuhusu Hivi vitatu pia;

1. Gesi
2. Mafuta ya kula
3. Nyanya
 
Moja ya njia nzuri ya kupunguza gharama za mafuta. Ya gari ni kutoutumia usafiri huo pasipo na ulazima..
Ni mwaka wa pili sasa naenda na kurudi kwa baiskeli kazini..(2.4km jumla kwa siku).
#kupanganikuchagua..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna vitu ambavyo sio vya lazima,mf. Pombe, sigara na anasa yoyote viache ila usafiri kama Kawa.
 
Tatizo sio mama kwa kuwa bei ilipanda soko la dunia ukichanganya na kodi siijui 15 kwenye mafuta lazima yawe bei juu
Suluhisho la kushusha bei za mafuta ni kujenga kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi pale TANGA
Fursa hiyo ya kuchakata mafuta ya Uganda
Mafuta ya Uganda siyo yenu. Msipotoshe umma kama mambo ya gesi ya mtwara. Huna mamlaka nayo,.wewe kazi yako ni kama mtaro tu wa kuyapitishia kuelekea bandari pale ili yasafirishwe

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…