RASMI Ronaldo ahamia Juventus Turin

RASMI Ronaldo ahamia Juventus Turin

Chamsingi kwake ni hela,hii watu watalalamika,watamsikitikia,haimsaidi sana yeye,yeye kwake mpira ni kazi zaidi kuliko burudani kwa watu wengine.....
 
Mashabiki wa madrid wasivyokuwa na uvumilivu, Neymer akileta hizo mbwembwe bila magoli, atakimbia bernabeu mwenyewee
Kama ndo hivyo basi Hazard ndo hataweza kabisa maana kufunga hajui, na Mbappe sijui kama anaweza kufunga magoli mengi kama Neymar
 
Madrid inapaswa kusajili wachezaji wa maana, Neymar wamuweke pembeni, hamna kitu mule. Neymar sio wa kucheza na akina Kroos na Modric.
 
Kunabaadhi ya shabiki wa soka walikuwa hawampendi Cr7 kipindi akiwa Old Trafford alivyohamia Real Madrid wakawa shabiki namba moja Cr7.

Kama watahamia huko alikokwenda haina taabu,ila naamini kunabaadhi ya man united fans walikuwa wanandoto ya Cr7 kurudi OT.
Mkuu unanizungumzia mimi
jamaa nilikua simpendi mm uyo, uwii yani nikiskia ronaldo natamani kutapika[emoji23]
alivyohamia madrid mimi saivi ni mfia ronaldo maana sio shabiki.. page zangu zimejaa ronaldo
ila pamoja na hayo nitaendelea kumsapoti akiwa juve
lakini nmeamua kubaki nyumbani Madrid.
 
Unafkiri watafanyaje zaidi ya kubadili mfumo mzima wa team? Hata wamlete Neymar bado timu haitatulia, kumbuka bado wana Modric na Kroos, miaka miwili mbele au hata mwakani nao wakatimka.
 
The god of modern football!! Ameanzia portugal, akaenda premiar legue akaenda tena la liga!! Sasa kaenda italy!!

Messi yupo tu hapo barca na hatak kutoka maana anajua akitoka amepotea kwenye raman ya mpira...

CR7
Atoke aende wapi kwa mfano?
 
Tumia ubongo wako kufikiria.

Unataka messi atoke barca aende wapi?

Timu pekee yenye hadhi ya Messi ni barcelona au Real madrid na ni wazi kabisa hawezi enda Real madrid.

Huko Barcelona Messi amekulia tokea udogoni, analipwa mshahara anaoutaka unataka aende wapi sasa?

Messi ndio kila kitu Barca tofauti na Ronaldo, Messi ndiye mfungaji bora, messi ndiye mtoaji wa assist nyingi zaidi Barca, yaani ndiye Roho ya Timu unataka aisaliti timu yake iliyomlea aende wapi na anapewa kila kitu!!
Kwa kuongezea ni kuwa, Barcelona ndio taasisi iliyomlea Messi pamoja na familia yake, kimatibabu, mavazi, maradhi, chakula n.k
 
Hawa pro Ronaldo hawawezi kuelewa, kama Cassilas mzawa wa pale Madrid aliondoka kama mbwa bila hata kuagwa kwahyo cr7 kunyimwa mkataba ni kawaida tu kitu ambacho kisingetokea kwa Xavi, INIESTA, Messi au Busquets

Wanataka Messi aondoke sijui akatafute nini ambacho hakipati pale Camp nou

Makombe?

Pesa?

Tuzo?

Heshima?

Loyalty?
Madrid ni timu ambayo ipo kibiashara zaidi. Na hata Ronaldo analijua hilo, Casillas sio kwa kuondoka vile.
 
Back
Top Bottom