PINC
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 206
- 246
Hawa wapuuzi wamechinjana sana.. sisi tumewatunza kama wakimbizi miaka mingi..
Ila wao corona kidogo tu wanatubagua.. na hapo hapo utakuta hawawazuii wachina kuingia rwanda au waitaliano
Kwa hiyo unataka wapelekewe corona.
Sisi tunajifanya vichwa ngumu,acha tutengwe tu.
Na bado kama tutendelea kuchukulia simple hili suala kuliona kama
series au movie tutaengwa zaidi hata kama maambukizi yakiisha.