Mpira haupo hivyo dadanguHatutaki tena huu mjadala wa kipuuzi, Pacome aheshimiwe.
Sijui wanapata wapi nguvu ya kuendelea na mada baada ya hili jibu. Ila Vyura hawakosi mkoromo, watakoroma tu.
National team ya nchi gani usiongee kama zuzuNi Nani na Kapewa Ruhusa na Nani kuanzisha mijadala ya Kijinga kama huu,... Wakati Mmoja anajitafuta Ili aitwe National team na Mwingine ni tegemeo National team...!
This debate automatically closed..!!
Watajibeba tunarusha tuu makombora..mechi moja haiwezi mtoa ubora mtu..na kwanza leo katengeneza njia nyingi ila umaliziaji ndo hakuna..watupisheee...Sijui wanapata wapi nguvu ya kuendelea na mada baada ya hili jibu. Ila Vyura hawakosi mkoromo, watakoroma tu.
Ongeza kaukali kidooogo kapovu kanogeWatajibeba tunarusha tuu makombora..mechi moja haiwezi mtoa ubora mtu..na kwanza leo katengeneza njia nyingi ila umaliziaji ndo hakuna..watupisheee...
Chama ndo mchezaji anayefananishwa na wachezaji wa wanavyura FC kila msimu. Hilo tu linatosha kukuonyesha kuwa wanamkubali.Watajibeba tunarusha tuu makombora..mechi moja haiwezi mtoa ubora mtu..na kwanza leo katengeneza njia nyingi ila umaliziaji ndo hakuna..watupisheee...
yaan unafananisha ivory coast na zambia ...?Ni Nani na Kapewa Ruhusa na Nani kuanzisha mijadala ya Kijinga kama huu,... Wakati Mmoja anajitafuta Ili aitwe National team na Mwingine ni tegemeo National team...!
This debate automatically closed..!!