Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Hope mko poa wakuu.
Baada ya game ya Simba na wafuga vitambi, na utapiamlo wa makirikiri, ambao walipokea pondo la 6 kwa ungo wa kupetea mchele.
ukaibuka mjadala kwamba kati ya pacome zouzoua na Chama nani bora zaidi kwa sasa?
Nasikitika kwamba tayari mjadala umefungwa rasmi baada ya Uji FC kula kichapo pale jamhuri stadium.
Au bado kuna wabishi?
Baada ya game ya Simba na wafuga vitambi, na utapiamlo wa makirikiri, ambao walipokea pondo la 6 kwa ungo wa kupetea mchele.
ukaibuka mjadala kwamba kati ya pacome zouzoua na Chama nani bora zaidi kwa sasa?
Nasikitika kwamba tayari mjadala umefungwa rasmi baada ya Uji FC kula kichapo pale jamhuri stadium.
Au bado kuna wabishi?