Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

alafu mbna unazunguka sana swali limekushinda ama? kama limekushinda tufunge tu mjadala mambo yasiwe mengi
Utoto Raha aisee , Shida yako unataka kuonyesha unajua na huo mchezo wa kitoto wa kushindana nani anajua zaidi sina, Mkuu Unajua kila kitu Chukua Kombe[emoji471].
 
Utoto Raha aisee , Shida yako unataka kuonyesha unajua na huo mchezo wa kitoto wa kushindana nani anajua zaidi sina, Mkuu Unajua kila kitu Chukua Kombe[emoji471].
Actually yes swali lililenga kupata uelewa wako wa financial markets kwa ndan wake na ni swali dogo sana, unadhan bila haya maswali ungeelewaje kwamba nachosema nna uhakika nacho na wewe pia sometimes jitahidi kua mwelewa, hii dunia sio nyepesi kama unavodhan kwamba kuna mtu anakupenda sana anakupa details kwenye vitabu 😂 😂 , the world isnt that easy! Ungekua unapenda kujua zaidi kingekupiga brashi ila sasa ndo ivo ujuaji mwingi swali jepesi unaanza kulia
 
No chance unaweza kufanikiwa in forex kwa kutumia 15m chart, minimum daily chart
Ahsante kwa Mtazamo wako.

- My Time-Frame ni kama ifuatavyo:

1. Weekly/Daily : Overall Bias (Ambapo naongozwa na COT weekly Data + Price Action OCHL) Kwa COT Data huwa naweka update hapa: Special Thread: COT Data Analysis & Trading Signals

2. H4/H1: Entry Bias Confirmation:
1717416233739.png

Ukiangalia Image utaona: Nina option ya three TF: Ila kwa sasa nime only H4

3. Actual Entry: Huwainafanyika kwenye M5/M15 Chart, Lengo ni kupata optimal entry price itakayoniwezesha kuwa na SL isiyozidi 15-20pips.

NB: Ukiona najadili M5/M15 lama mfano, tambua kazi ilishafanyika na kukamilika kwenye higher TimeFrame, Iwapo una hoja nyingine, Karibu tujadili.
 
Hii ni mpk uwe na elimu ya kutosha sana,sio kuingia tu
Knowledge halafu inafuatia experience ,financial markets are complex systems influenced by a multitude of factors, Nadharia inaweza kukuambia price iki retest resistance point itakuwa Shorted to a certain point but experience inakuambia ni falsified retest kutokana na Dynamic factor za uchumi.
Wale Pro traders wanaoajiriwa Wallstreet au kwenye mabenki wana uzoefu wa miaka na portfolio zao ni za kuthibitishika.
Kufikia level za kufanikiwa na hii biashara ni kama Rubani anaetafuta vigezo vya kuwa captain.
 
Actually yes swali lililenga kupata uelewa wako wa financial markets kwa ndan wake na ni swali dogo sana, unadhan bila haya maswali ungeelewaje kwamba nachosema nna uhakika nacho na wewe pia sometimes jitahidi kua mwelewa, hii dunia sio nyepesi kama unavodhan kwamba kuna mtu anakupenda sana anakupa details kwenye vitabu [emoji23] [emoji23] , the world isnt that easy! Ungekua unapenda kujua zaidi kingekupiga brashi ila sasa ndo ivo ujuaji mwingi swali jepesi unaanza kulia
Wewe ni kielelezo cha mfano wa Dunning-Kruger effect.
 
Ahsante kwa Mtazamo wako.

- My Time-Frame ni kama ifuatavyo:

1. Weekly/Daily : Overall Bias (Ambapo naongozwa na COT weekly Data + Price Action OCHL) Kwa COT Data huwa naweka update hapa: Special Thread: COT Data Analysis & Trading Signals

2. H4/H1: Entry Bias Confirmation:
View attachment 3007452
Ukiangalia Image utaona: Nina option ya three TF: Ila kwa sasa nime only H4

3. Actual Entry: Huwainafanyika kwenye M5/M15 Chart, Lengo ni kupata optimal entry price itakayoniwezesha kuwa na SL isiyozidi 15-20pips.

NB: Ukiona najadili M5/M15 lama mfano, tambua kazi ilishafanyika na kukamilika kwenye higher TimeFrame, Iwapo una hoja nyingine, Karibu tujadili.
Hakuna right or wrong katika trading na kuna millions ways to trade, if you are making money stick with it
 
Back
Top Bottom