Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

NIMELIOMBA ROBOTI LIKUSAHIHISHE .

FOREX sio soko bali ni mchakato: Hii ni sahihi kwa kiwango fulani kwani forex inamaanisha mchakato wa kubadilisha sarafu. Hata hivyo, soko la forex (FOREX MARKET) ni mahali ambapo mchakato huu unafanyika.

Leseni kwa ajili ya FOREX: Leseni hutolewa kwa taasisi zinazohusika na biashara ya kubadilisha sarafu, ikiwa ni pamoja na mabenki na madalali (brokers).

SOKO LA FOREX LIPO AU HALIPO?: Soko la forex lipo na linafanya kazi, lakini kuna vikwazo vingi na utapeli unaohusiana na matumizi ya majukwaa kama MT4 na MT5. Ni muhimu kufanya biashara na madalali waliodhibitiwa na mamlaka za kifedha zinazotambulika ili kuepuka utapeli.

Uhusiano wa FOREX na Brokers: Madalali (brokers) ni sehemu muhimu ya soko la forex kwani wanawezesha wafanyabiashara kupata masoko na kufanya biashara. Hata hivyo, sio madalali wote wanafanya kazi kwa uaminifu.


Ukitumia broka haufanyi forex bali unafanya gambling kwa sababu hakuna sehem ile hela umedeposit inaenda, kwa ufupi ukiweka ela kwa broka haufanyi forex bali betting na outcomes za hio betting ndo ztaamua broka afilisike ama wewe ufilisike, bahati mbaya watu wamepotoshwa na wingu la broka kwa kuweka maslahi y biashara mbele but ile sio forex ni gambling
 
NIMELIOMBA ROBOTI LIKUSAHIHISHE .

FOREX sio soko bali ni mchakato: Hii ni sahihi kwa kiwango fulani kwani forex inamaanisha mchakato wa kubadilisha sarafu. Hata hivyo, soko la forex (FOREX MARKET) ni mahali ambapo mchakato huu unafanyika.

Leseni kwa ajili ya FOREX: Leseni hutolewa kwa taasisi zinazohusika na biashara ya kubadilisha sarafu, ikiwa ni pamoja na mabenki na madalali (brokers).

SOKO LA FOREX LIPO AU HALIPO?: Soko la forex lipo na linafanya kazi, lakini kuna vikwazo vingi na utapeli unaohusiana na matumizi ya majukwaa kama MT4 na MT5. Ni muhimu kufanya biashara na madalali waliodhibitiwa na mamlaka za kifedha zinazotambulika ili kuepuka utapeli.

Uhusiano wa FOREX na Brokers: Madalali (brokers) ni sehemu muhimu ya soko la forex kwani wanawezesha wafanyabiashara kupata masoko na kufanya biashara. Hata hivyo, sio madalali wote wanafanya kazi kwa uaminifu.
soko la forex halipo na haliwezi kuwepo kwa sababu forex ni makubaliano na sio soko la pamoja, ukinunua dolq kupitia vodacom utauzia kwa rate yao same ukinunua crdb utauziwa kwa rate yao, likewise ukienda BOT utapewa rate tafaut, process goes on mpaka kwa byuro de change, hakunag kitu kama soko la forex hio ni lugha yq biashara kuwajaza kwenye platform za mabroka,
 
NIMELIOMBA ROBOTI LIKUSAHIHISHE .

FOREX sio soko bali ni mchakato: Hii ni sahihi kwa kiwango fulani kwani forex inamaanisha mchakato wa kubadilisha sarafu. Hata hivyo, soko la forex (FOREX MARKET) ni mahali ambapo mchakato huu unafanyika.

Leseni kwa ajili ya FOREX: Leseni hutolewa kwa taasisi zinazohusika na biashara ya kubadilisha sarafu, ikiwa ni pamoja na mabenki na madalali (brokers).

SOKO LA FOREX LIPO AU HALIPO?: Soko la forex lipo na linafanya kazi, lakini kuna vikwazo vingi na utapeli unaohusiana na matumizi ya majukwaa kama MT4 na MT5. Ni muhimu kufanya biashara na madalali waliodhibitiwa na mamlaka za kifedha zinazotambulika ili kuepuka utapeli.

Uhusiano wa FOREX na Brokers: Madalali (brokers) ni sehemu muhimu ya soko la forex kwani wanawezesha wafanyabiashara kupata masoko na kufanya biashara. Hata hivyo, sio madalali wote wanafanya kazi kwa uaminifu.
mabroka hawana uhusiano wowote na forex biashara ya forex haiwahusu, wanaotrade forex ni central banks peke yake na hedge funds wengine wote ni matapeli wa forex, central bank wanatrade forex sio kwa ajili ya kupata faida bali kubalance mahesabu yao, wao ndo wenye volume kubwa zaidi, hedge funds wanatrqde forex as a mean to balance portofolio zao which later turns to profit, zpo pair nyingi sana hazina broka na zna rate mfano KSHTSH, UGXTSH hakuna broka anatoa hii pair but rates hubadilika kila sku, hii uelewe kwamba hakuna kitu kinaitwa forex market
 
Unahela ya kutapeliwa mzee izo usd 1k 2k ndo unasema umetapeliwa watu wanapoteza watu wanamake millions out of trading, kama hujui hujui si lazima wote tufanye trading, kama huna maamuzi trading hutoiweza binafsi nilifeli sana kwasababu nilikosa maamuz plan etc,
hio ni documented however the logic goes to all people, unajua hatukatazi watu wafanye forex however tunatamani watu wajue ukwel wa mambo, wapo watu wanaotumia hii platform vibaya kwa kufundisha, tunataman watu wajue kabisa forex amna hela
 
unapoteza mda kuelezea kitu hukijui, hakuna soko la forex na haliwezi kuwepo, kila mtu anatrade kwenye wigo wake, mm naweza kukuuzia dola 10k mwingine akaunza jero, haya sio masoko kijana ni makubaliano, likewise crdb anauza dola tafauti na nmb, kwahio acha kupoteza mda
Mwalimu hebu nenda Google kwanza ukajieleweshe maana ya ya Financial Market ni nini na ina utofauti gani na aina nyingine za market na je uwepo wa broker Sokoni una disqualify maana halisi ya soko.
Nakwambia kagoogle maana sipendi kupoteza.muda na mtu anaeng'ang'ania ujinga.
 
IMG_7405.jpeg


IMG_7404.jpeg


Market (soko) by definition ni sehemu yeyote ambayo watu wanakutana na kuuza bidhaa. Soko la samaki feri, mnada wa korosho (somewhere in Mtwara) etc. Kwa ivyo forex market ni mahala ambapo watu wanauza na kununua forex (trading platforms).

IMG_7406.jpeg


Trading platforms za forex ndio brokers (kwa sababu unalipa commission kutumia) once you trade.

What influence prices ni pairs ambazo kuna central system in record international forex transaction (this is where it gets complicated to understand, honestly you need a book for that).

The entire thing is based on speculation for traders, you only improve you chances by taking an educated guess given the current driving factors news reports. Na main major pairs ambazo utapata info zake labda Yen/Dolla, EURO/Dollar, Pound/Dollar.

Ukienda huko kwenye pairs za hovyo kama tsh/ksh, tsh/naira wakati hakuna information za driving factors muhimu zinazo influence kupanda na kushuka kwa currency na commerce trade yenyewe ni ndogo sana, maana yako pia ku-trade kwenye pair kama hizo ni sawa na kutupa hela yako chooni.
 
mabroka hawana uhusiano wowote na forex biashara ya forex haiwahusu, wanaotrade forex ni central banks peke yake na hedge funds wengine wote ni matapeli wa forex, central bank wanatrade forex sio kwa ajili ya kupata faida bali kubalance mahesabu yao, wao ndo wenye volume kubwa zaidi, hedge funds wanatrqde forex as a mean to balance portofolio zao which later turns to profit, zpo pair nyingi sana hazina broka na zna rate mfano KSHTSH, UGXTSH hakuna broka anatoa hii pair but rates hubadilika kila sku, hii uelewe kwamba hakuna kitu kinaitwa forex market
Wewe ni mjinga na upo Shallow sana ndugu yangu na kingereza chako cha kuunga unga ,Narudia wewe ni mjinga kama umeshindwa hata kujua Roles za central banks kwenye money exchange.

Kama hakuna kitu kinachoitwa Forex Market je thamani ya currency inakuwa determined vipi in real time ,Shida yako ukisikia soko unadhani ni Soko la Kariakoo, Soko kwenye mambo ya financial ni system sio mazingira bro , JITATHIMINI.
Kaangalie series moja inaitwa the Wolf of wall street unaweza kupunguza ujinga.
 
View attachment 3003802

View attachment 3003803

Market (soko) by definition ni sehemu yeyote ambayo watu wanakutana na kuuza bidhaa. Soko la samaki feri, mnada wa korosho (somewhere in Mtwara) etc. Kwa ivyo forex market ni mahala ambapo watu wanauza na kununua forex (trading platforms).

View attachment 3003809

Trading platforms za forex ni brokers (kwa sababu unalipa commission kutumia).

What influence prices ni pairs ambazo kuna central system in record international forex transaction (this is where it gets complicated to understand, honestly you need a book for that).

The entire thing is based on speculation for traders, you only improve you chances by taking educational guess given current factors. Na main major pairs ambazo utapata info zake labda Yen/Dolla, EURO/Dollar, Pound/Dollar.

Ukienda huko kwenye tsh/ksh, tsh/naira wakati hakuna information za factor muhimu zinazo influence kupanda na kushuka kwa currency na trade yenyewe ndogo sana, trade kama hizo ni sawa na kutupa hela yako chooni.
Huyo jamaa asome hapa ataelewa kidogo angalau
 
Wewe ni mjinga na upo Shallow sana ndugu yangu na kingereza chako cha kuunga unga ,Narudia wewe ni mjinga kama umeshindwa hata kujua Roles za central banks kwenye money exchange.

Kama hakuna kitu kinachoitwa Forex Market je thamani ya currency inakuwa determined vipi in real time ,Shida yako ukisikia soko unadhani ni Soko la Kariakoo, Soko kwenye mambo ya financial ni system sio mazingira bro , JITATHIMINI.
Kaangalie series moja inaitwa the Wolf of wall street unaweza kupunguza ujinga.
sasa si ushukuru ata nmekutoa tongo tongo maana wajinga wako wengi na wako proud, turudi kwenye maswali yako
1) Central bank hafanyi biashara na hana huo uwezo, central bank akifanya biashara basi pesa ya nchi inakufa, lets say BOT wanatak kutrade USD NA TSH akifanya ivo atalalia upande wa faida ikiwemo kusell reserve zote za TSH abaki na USD zenye faida, madhara yake ni TSH kufa mazima!

2) PESA INATOA WAP THAMANI: swali zuri, ukimuuliza mtu wa uchumi atakwambia supply and demand, na kuna kaukwel however rates zote zko controlled, nchi yako ikiwa inaexport sana basi thamani inapanda this is true kwa nchi zilizoweka uzito sana kwenye mafuta , however kwa wale wene uzoefu wa hii mifumo ukweli ni kwamba izi rates ni FLOATING hazina uhalisia wowote, ingekua ni free market ningeweza kubadilisha pesa kutoka TSH kwenda UGX then USD then back to tZS kwa sababu supply and demand za tz na uganda zko tafauti however you will land in a loss
 
Mwalimu hebu nenda Google kwanza ukajieleweshe maana ya ya Financial Market ni nini na ina utofauti gani na aina nyingine za market na je uwepo wa broker Sokoni una disqualify maana halisi ya soko.
Nakwambia kagoogle maana sipendi kupoteza.muda na mtu anaeng'ang'ania ujinga.
uzuri skulazimishi kuamini na sio sheria, utaamua mwenyewe
 
Huyo jamaa asome hapa ataelewa kidogo angalau
wewe ndo ulitakiwa ukasome apo unadhan broka anadeal na forex, jamaa wako ameshaeelezea vizuri
The entire thing is based on speculation for traders, you only improve you chances by taking an educated guess given the current driving factors news reports. Na main major pairs ambazo utapata info zake labda Yen/Dolla, EURO/Dollar, Pound/Dollar.

Jamaa wako ameelezea vizuri kabisa, tatizo vijana ujuaji mwingi, mkishajua kugoogle basi kila kitu mnajua, mambo hayaendi ivo
 
sasa si ushukuru ata nmekutoa tongo tongo maana wajinga wako wengi na wako proud, turudi kwenye maswali yako
1) Central bank hafanyi biashara na hana huo uwezo, central bank akifanya biashara basi pesa ya nchi inakufa, lets say BOT wanatak kutrade USD NA TSH akifanya ivo atalalia upande wa faida ikiwemo kusell reserve zote za TSH abaki na USD zenye faida, madhara yake ni TSH kufa mazima!

2) PESA INATOA WAP THAMANI: swali zuri, ukimuuliza mtu wa uchumi atakwambia supply and demand, na kuna kaukwel however rates zote zko controlled, nchi yako ikiwa inaexport sana basi thamani inapanda this is true kwa nchi zilizoweka uzito sana kwenye mafuta , however kwa wale wene uzoefu wa hii mifumo ukweli ni kwamba izi rates ni FLOATING hazina uhalisia wowote, ingekua ni free market ningeweza kubadilisha pesa kutoka TSH kwenda UGX then USD then back to tZS kwa sababu supply and demand za tz na uganda zko tafauti however you will land in a loss
Nimechoka kukuelewesha mkuu , umeshindwa hata kujua swali langu linataka nini, nimekuuliza tunajua vipi price ya currency flani in real - time, wewe umeenda moja kwa moja kwenye demand and supply..

Haya mwanafunzi jibu hili pengine utaelewa. Je ikitokea unataka kujua Demand au Supply ya Dollar muda wowote ule ni wapi utaenda kuangalia??.
 
Nimechoka kukuelewesha mkuu , umeshindwa hata kujua swali langu linataka nini, nimekuuliza tunajua vipi price ya currency flani in real - time, wewe umeenda moja kwa moja kwenye demand and supply..

Haya mwanafunzi jibu hili pengine utaelewa. Je ikitokea unataka kujua Demand au Supply ya Dollar muda wowote ule ni wapi utaenda kuangalia??.

unatakiwa ujifunze kusoma kuelewa na sio kusoma kubisha, nmekwambia hilo swali lina majibu kutoka makundi 2 na yote yanaweza kua sawa kwa uzito flan, ukimuuliza mchumi atakwambia supply and demand na kuna kaukwel ndan yake kadogo lakini kwa wanaoelewa undan wa financial system za dunia hicho kitu hakipo, uwe unajifunza kusoma kuelewa, majibu yako ya watu 2 tafauti

supply and demand namaanisha uhitaji wa fedha nje na ndan ya nchi siongelei charts, ukwel ni kwamba prices zote duniani znatumia FLOATING RATES, sio rate halisi, kila nchi supply and demand yake ni tafauti, kwa mfano uganda na tanzania ni nchi 2 tafauti na zna uchumi tafauti, ama tuchukulie mfano mwingine mrahisi chukulia nchi kama zimbabwe, ukichukua ela ya tanzania ukabadilisha kwenda ela ya zimbabwe utapata rate ambayo haina uhusiano na demand wala supply yake, chukua laki badilisha kwenda ela ya zimbambwe then badilisha tena kwenda dola then badilisha tena kwenda TZS, japokua tanzania ina uchumi mkubwa ila kwenye hii process utaishia kupata hasara IJAPOKUA uchumi wa tz uko juu, so this means kelele zote za supply and demand hua hazina ukwel kwenye angle flan

Tatizo lenu mkishajua kugoogle mnakua much know
 
Wewe unajua jua , yaani concepts unazo shida ni kwamba upo Shallow , Unaonekana umesoma soma huko google na kusimuliwa .

mm wala sihitaji izo compliment kijana, nnachosema ndo uhalisia wa uchumi wa dunia its upto youukitaka kuelimika sawa, ukitaka kuendelea kukaza wewe tu
 
View attachment 3003802

View attachment 3003803

Market (soko) by definition ni sehemu yeyote ambayo watu wanakutana na kuuza bidhaa. Soko la samaki feri, mnada wa korosho (somewhere in Mtwara) etc. Kwa ivyo forex market ni mahala ambapo watu wanauza na kununua forex (trading platforms).

View attachment 3003809

Trading platforms za forex ndio brokers (kwa sababu unalipa commission kutumia) once you trade.

What influence prices ni pairs ambazo kuna central system in record international forex transaction (this is where it gets complicated to understand, honestly you need a book for that).

The entire thing is based on speculation for traders, you only improve you chances by taking an educated guess given the current driving factors news reports. Na main major pairs ambazo utapata info zake labda Yen/Dolla, EURO/Dollar, Pound/Dollar.

Ukienda huko kwenye pairs za hovyo kama tsh/ksh, tsh/naira wakati hakuna information za driving factors muhimu zinazo influence kupanda na kushuka kwa currency na commerce trade yenyewe ni ndogo sana, maana yako pia ku-trade kwenye pair kama hizo ni sawa na kutupa hela yako chooni.

hakuna pair ya hovyo, TSHKSH iko the same same kama EURUSD, trading haifanyiki kwa sababu ya kupata faida bali iafanyika kubalance mahesabu, trading haifanyiki kwa broka inafanyika kwenye central bank ya nchi husika broka hio ni biashara ya watu wengine nani story tafauti, rate ya KSHTSH daily inamove this means there is an activity going on within the pair
 
Ukitumia broka haufanyi forex bali unafanya gambling kwa sababu hakuna sehem ile hela umedeposit inaenda, kwa ufupi ukiweka ela kwa broka haufanyi forex bali betting na outcomes za hio betting ndo ztaamua broka afilisike ama wewe ufilisike, bahati mbaya watu wamepotoshwa na wingu la broka kwa kuweka maslahi y biashara mbele but ile sio forex ni gambling
Unaelewa maana ya broker ,broker ni mtu wa kati sasa kama anayobidhaa ya kukupa then atakuwa anajidalalia mwenyewe,broker ye anakuonyesha mali anapata percent basi
 
Unaelewa maana ya broker ,broker ni mtu wa kati sasa kama anayobidhaa ya kukupa then atakuwa anajidalalia mwenyewe,broker ye anakuonyesha mali anapata percent basi
Hakunaga kitu kama forex broka pale mmepigwa, forex market haipo
 
Back
Top Bottom