Rasmi Simba Imeachana na Augustine Okrah

Rasmi Simba Imeachana na Augustine Okrah

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
KWAHERI AUGUSTINE OKRAH

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah 🇬🇭 baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.

9DD02BE6-1779-4397-84FC-4EA135242135.jpeg
 
Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania
 
Nilitamani huyu mwamba angebaki walau kwa msimu mmoja zaidi
 
Back
Top Bottom