S Smart codetz JF-Expert Member Joined Jan 25, 2023 Posts 218 Reaction score 875 Jun 5, 2023 #1 KWAHERI AUGUSTINE OKRAH Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah π¬π baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.
KWAHERI AUGUSTINE OKRAH Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah π¬π baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.
3 Angels message JF-Expert Member Joined Aug 3, 2017 Posts 5,350 Reaction score 15,426 Jun 5, 2023 #2 Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania
Song of Solomon JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 2,752 Reaction score 5,609 Jun 5, 2023 #3 3 Angels message said: Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania Click to expand... Utaahira ni mzigo mkubwa sana yaani Simba Ina mafanikio ndani na nje ya Tanzania? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
3 Angels message said: Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania Click to expand... Utaahira ni mzigo mkubwa sana yaani Simba Ina mafanikio ndani na nje ya Tanzania? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 5, 2023 #4 Ahsante kwa taarifa...
Msudu JF-Expert Member Joined Aug 19, 2021 Posts 1,050 Reaction score 1,705 Jun 5, 2023 #5 Nilitamani huyu mwamba angebaki walau kwa msimu mmoja zaidi