RASMI: Simba yamtangaza Mfaransa Didier Gomes da Rosa kuwa kocha wake mpya

RASMI: Simba yamtangaza Mfaransa Didier Gomes da Rosa kuwa kocha wake mpya

Mwanamaji

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
2,905
Reaction score
4,518
Aliyekua kocha mkuu wa klabu ya Al Merreikh ya Sudan, Mfaransa Didier Gomes da Rosa amejiunga rasmi na klabu ya Simba Sports Club.

Kocha huyo ametangazwa leo na mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Barbra Gonzalez.

IMG_20210124_124313.jpg
 
Karibu sana Tanzania kwenye mashabiki wasio na uvumilivu wenye kelele nyingi na wasio na taaruma ya ufundisha ila ni makocha wazuri wa kukupangia vikosi.
 
Back
Top Bottom