We jamaa mpira wa simba na Yanga hata huujui, bora utulie ucheze bao. We unafuatilia tu anachoongea Manara hao wasemaji wako huwafuatilii. Ulishasikia hao wasemaji wa uto wamelalamika kua marana kila akiongea lazima aiseme Utopolo fc. Hawasemi kwa vile hata wao wanaisema simba .
We mwenyewe humu jamii forum kila komment lazima uzungumzie vibaya simba, unachukia nini Utopolo ikizungumziwa.
Afu uwe na lugha za staa acha ubaguzi, we ukiienda ulaya ukaitwa we mweusi utaitika?. Mwite kwa jina lake kama wewe unavyoitwa sibonike. Hata kama manara yuko vile ndivyo alivyoumbwa hakujibadilisha. Mpe respect yake, achani kutengeneza chuki binafsi kwenye mpira, hizi ni timu tu umezikuta utaziacha. Kumbuka simba na Yanga ni watani wa jadi. Ndio maana uwezi kusikia wa simba anamtania wa azamu au Yanga anamtania wa Azamu na timu zingine.
Huwezi kufanya utani na mtu ambaye ufanyi naye utani