Rasmi: Uasi wa Progozhin ilikuwa kama mazoezi ya zimamoto

Rasmi: Uasi wa Progozhin ilikuwa kama mazoezi ya zimamoto

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara ya kwanza viongozi wa Urusi wamethibitisha kuwa lile tukio lililopata kuripotiwa sana duniani ilikuwa ni kama yale mazoezi ya kuzima moto nchini ambapo wakati mwengine ndege huripotiwa kuanguka na kuleta taharuki kubwa kwa wananchi.

Hilo limetolewa ufafanuzi na mnadhimu wa masuala ya kiusalma nchini Urusi bwana Oleksiy Danilov
Generali Danilov amesema mchezo ule ulichezwa kwa ushirikiano rasmi kati ya Prigozhin na raisi Putin na lengo lake ilikuwa ni kuwafichua majjenerali ambao hawana utiifu kwa raisi Putin.

Wengi wao tayari wako mahabusu na wengine wameondolewa nyadhifa zao.Akaongeza kuwa Ukraine wanawajua watu wao hao.

Prigozhin’s mutiny was a planned special operation – Danilov


Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kwa kiasi kikubwa Urusi imeonekana kuiwacha mbali NATO katika kuweka siri mipango yao na katika ukubwa wa propaganda za kivita.
 
Kwa mara ya kwanza viongozi wa Urusi wamethibitisha kuwa lile tukio lililopata kuripotiwa sana duniani ilikuwa ni kama yale mazoezi ya kuzima moto nchini ambapo wakati mwengine ndege huripotiwa kuanguka na kuleta taharuki kubwa kwa wananchi.
Hilo limetolewa ufafanuzi na mnadhimu wa masuala ya kiusalma nchini Urusi bwana Oleksiy Danilov
Generali Danilov amesema mchezo ule ulichezwa kwa ushirikiano rasmi kati ya Prigozhin na raisi Putin na lengo lake ilikuwa ni kuwafichua majjenerali ambao hawana utiifu kwa raisi Putin.Wengi wao tayari wako mahabusu na wengine wameondolewa nyadhifa zao.Akaongeza kuwa Ukraine wanawajua watu wao hao.

Prigozhin’s mutiny was a planned special operation – Danilov

Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kwa kiasi kikubwa Urusi imeonekana kuiwacha mbali NATO katika kuweka siri mipango yao na katika ukubwa wa propaganda za kivita.
Hilo lilikua wazi sana wapuuzi ndo walifikiri liko serious it was staged kabisa, ila Nato nayeye aliduazwa bila kujua ukweli akaanza kutoa siri za ndani kwa proghizin.
 
Yalikua mapinduzi ya ajabu na ya aina yake,kutaka kumpindua waziri wa ulinzi badala ya Rais.
Tutasikia mengi.
Prigozhin mwisho wa vita atapewa nishani ya hali ya juu kwa kuwapiga chenga maadui. Na wazungu hawakuona kabisa wakabaki kutangaza na idadi ya ndege zilizoangushwa na kikosi cha Wagner. mara 15 na marubani kibao ..
 
Yalikua mapinduzi ya ajabu na ya aina yake,kutaka kumpindua waziri wa ulinzi badala ya Rais.
Tutasikia mengi.
Ulishawahi kuliona wapi mtu asafirishe jeshi kubwa kilomita zaidi ya 500km bila kua sobataged njiani na airforce bombandimemt, misile attacks wakati signal zote za GPS walikua nazo na aina ya silaha wanaijua, na supply wao mkuu ni huyu huyu anaempiga ni mjinga tu ndo alie amini hilo tukio.
 
Prigozhin mwisho wa vita atapewa nishani ya hali ya juu kwa kuwapiga chenga maadui.
Kabisa yaani.
Jamaa ni bonge la Actor.
Jamaa Propaganda anazijua na kuziweza hasa.
Kumjua kwamba hapa anapiga propagands hapa hapigi ni kazi sana.
Kipindi kile alikua alilalamika kua kaishiwa silaha ,waukraine wanaingia mtegoni wanaliwa vicha kwa mamia.
Akirudia Tena uongo wake huo waukraine wala hawashituki wanaingia Chaka Tena wanaliwa vichwa.

Aisee nadhani huyu jamaa ni jasusi mbobevu.
 
Ulishawahi kuliona wapi mtu asafirishe jeshi kubwa kilomita zaidi ya 500km bila kua sobataged njiani na airforce bombandimemt, misile attacks wakati signal zote za GPS walikua nazo na aina ya silaha wanaijua, na supply wao mkuu ni huyu huyu anaempiga ni mjinga tu ndo alie amini hilo tukio.
Kama ni hivyo wajinga ni wengi sana duniani.Mimi ni nusu kwa nusu.Nilijiuliza inakuwaje muasi apewe zawadi ya kuhamia nchi nyengine na jeshi lake lote.
 
Kama ni hivyo wajinga ni wengi sana duniani.Mimi ni nusu kwa nusu.Nilijiuliza inakuwaje muasi apewe zawadi ya kuhamia nchi nyengine na jeshi lake lote.
Mimi navo mjua putin huyu kiongozi angekua alisha lishwa sumu ile hatari ya nuclear substance, mapema hata ya watu kujua tofauti zao Putini iko makini sana na adui zake, yule ni puppet wake ana mtumia anavo taka.......na soon Africa magharibi yote itakua chini yake subiria coup nyingine Senagal, Nigeria assassination au coup kwasbb jeshi la Nigeria liko corrupt sana lina weza chochete hapo anacho lenga ni EU na bomba lao la gesi kutoka Nigeria, tusipo angalia vita kuu huenda kuanzia Africa.
 
Mimi navo mjua putin huyu kiongozi angekua alisha lishwa sumu ile hatari ya nuclear substance, mapema hata ya watu kujua tofauti zao Putini iko makini sana na adui zake, yule ni puppet wake ana mtumia anavo taka.......na soon Africa magharibi yote itakua chini yake subiria coup nyingine Senagal, Nigeria assassination au coup kwasbb jeshi la Nigeria liko corrupt sana lina weza chochete hapo anacho lenga ni EU na bomba lao la gesi kutoka Nigeria, tusipo angalia vita kuu huenda kuanzia Africa.
Nakukubali na wazo lako kuhusu Nigeria.Ni taifa kubwa la Afrika lakini dhaifu sana kiuongozi.Wakileta ujinga wa kuwaunga mkono Ulaya itapinduliwa mara moja.
 
Ulishawahi kuliona wapi mtu asafirishe jeshi kubwa kilomita zaidi ya 500km bila kua sobataged njiani na airforce bombandimemt, misile attacks wakati signal zote za GPS walikua nazo na aina ya silaha wanaijua, na supply wao mkuu ni huyu huyu anaempiga ni mjinga tu ndo alie amini hilo tukio.
Ha ha haa,kweli kabisa,inashangaza sana.
Nikifatilia naona uasi wa Chechen ulishughulikiwa kikamilifu na Putin Sasa iweje Vagner wa match kirahisi TU?
 
Kwa mara ya kwanza viongozi wa Urusi wamethibitisha kuwa lile tukio lililopata kuripotiwa sana duniani ilikuwa ni kama yale mazoezi ya kuzima moto nchini ambapo wakati mwengine ndege huripotiwa kuanguka na kuleta taharuki kubwa kwa wananchi.

Hilo limetolewa ufafanuzi na mnadhimu wa masuala ya kiusalma nchini Urusi bwana Oleksiy Danilov
Generali Danilov amesema mchezo ule ulichezwa kwa ushirikiano rasmi kati ya Prigozhin na raisi Putin na lengo lake ilikuwa ni kuwafichua majjenerali ambao hawana utiifu kwa raisi Putin.

Wengi wao tayari wako mahabusu na wengine wameondolewa nyadhifa zao.Akaongeza kuwa Ukraine wanawajua watu wao hao.

Prigozhin’s mutiny was a planned special operation – Danilov


Katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine kwa kiasi kikubwa Urusi imeonekana kuiwacha mbali NATO katika kuweka siri mipango yao na katika ukubwa wa propaganda za kivita.
Majenerali gani walioibiuliwa na sting operation ya mpishi Prighozin?
Wako wangapi ?
Majina yao ni yapi?
 
Back
Top Bottom