Rasmi: Uasi wa Progozhin ilikuwa kama mazoezi ya zimamoto

Rasmi: Uasi wa Progozhin ilikuwa kama mazoezi ya zimamoto

Cha kushangaza zaidi wapinduaji walitoa taarifa kabisa kua wanaelekea Moscow kumpindua waziri wa ulinzi na Mkuu wa majeshi.
Mara msafara wa magari ya vitavna vifaa na askari vikawa vinaelekea Moscow,wakati huohuo wakipishana na msafara wa wanajeshi watiifu wa kwa Putin kutoka Chechen walioenda kuchukua nafasi zilizoachwa na "Vagner"wenye msururu wa zana kama zao.
Wakti huo huo Kuna vikosi imara kabisa vya wanajeshi wa kawaida na wasio wa kawaida wenye mafunzo adimu kabisa hapa Duniani Spertsnaz na askari kama hao wakiwa makambini wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.

Msafara kama huo wa askari wa Urusi ambao ulikua ukielekea Kyev ambao ambao tuliaminishwa ulisambaratishwa na jeshi Ukraine,Leo jeshi kubwa kabisa hapa chini ya jua la Urusi lishindwa kuusambaratisha msafara wa Vagner ambalo linatumia Kila kifaa made in Russia Hadi namna ya kuvitumia wamefundishwa na Urusi.
Aisee hata kama habari hii tunayoijadilinsio ya kweli,lkn Mimi wala sikuona mapinduzi yoyote ya maana hapo.
Wakati huohuo wananchi mitaani wanakimbilia kwenye msafara huo na kudandia vifaru na magari ya delaya na kuanza kupiga picha kwa mtindo wa selfie na kuanza kufanya masihala na wapindua Wizara wa ulinzi.
Hata kama habari hii sio ya kweli lkn nilimuona Prigozin kama Mzee mtundumtundu TU.
 
Mimi navo mjua putin huyu kiongozi angekua alisha lishwa sumu ile hatari ya nuclear substance, mapema hata ya watu kujua tofauti zao Putini iko makini sana na adui zake, yule ni puppet wake ana mtumia anavo taka.......na soon Africa magharibi yote itakua chini yake subiria coup nyingine Senagal, Nigeria assassination au coup kwasbb jeshi la Nigeria liko corrupt sana lina weza chochete hapo anacho lenga ni EU na bomba lao la gesi kutoka Nigeria, tusipo angalia vita kuu huenda kuanzia Africa.
hili sual nimelifikiria sana. hapa ndipo inapoweza sasa kuanxzia vita ya tatu y dunia
 
Cha kushangaza zaidi wapinduaji walitoa taarifa kabisa kua wanaelekea Moscow kumpindua waziri wa ulinzi na Mkuu wa majeshi.
Mara msafara wa magari ya vitavna vifaa na askari vikawa vinaelekea Moscow,wakati huohuo wakipishana na msafara wa wanajeshi watiifu wa kwa Putin kutoka Chechen walioenda kuchukua nafasi zilizoachwa na "Vagner"wenye msururu wa zana kama zao.
Wakti huo huo Kuna vikosi imara kabisa vya wanajeshi wa kawaida na wasio wa kawaida wenye mafunzo adimu kabisa hapa Duniani Spertsnaz na askari kama hao wakiwa makambini wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.

Msafara kama huo wa askari wa Urusi ambao ulikua ukielekea Kyev ambao ambao tuliaminishwa ulisambaratishwa na jeshi Ukraine,Leo jeshi kubwa kabisa hapa chini ya jua la Urusi lishindwa kuusambaratisha msafara wa Vagner ambalo linatumia Kila kifaa made in Russia Hadi namna ya kuvitumia wamefundishwa na Urusi.
Aisee hata kama habari hii tunayoijadilinsio ya kweli,lkn Mimi wala sikuona mapinduzi yoyote ya maana hapo.
Wakati huohuo wananchi mitaani wanakimbilia kwenye msafara huo na kudandia vifaru na magari ya delaya na kuanza kupiga picha kwa mtindo wa selfie na kuanza kufanya masihala na wapindua Wizara wa ulinzi.
Hata kama habari hii sio ya kweli lkn nilimuona Prigozin kama Mzee mtundumtundu TU.
Mashoga walijidanganya eti wale askari wa vikosi maalum na wengine waliobaki makambini mwao huku Wagner wakielekea kumpindua waziri wa ulinzi kwamba ni kuunga kwao mkono mapinduzi.
 
Nakukubali na wazo lako kuhusu Nigeria.Ni taifa kubwa la Afrika lakini dhaifu sana kiuongozi.Wakileta ujinga wa kuwaunga mkono Ulaya itapinduliwa mara moja.
SOVIET ilikuwa kubwa dunia nzima zaidi ya Nigeria lakin ilipasuliwa vipande vipande
 
SOVIET ilikuwa kubwa dunia nzima zaidi ya Nigeria lakin ilipasuliwa vipande vipande
Tutegemee kama hivyo kwa US siku zijazo.Trump keshaanza kazi.
 
Mashoga walijidanganya eti wale askari wa vikosi maalum na wengine waliobaki makambini mwao huku Wagner wakielekea kumpindua waziri wa ulinzi kwamba ni kuunga kwao mkono mapinduzi.
Mashoga Kila kijihabari Cha kuwafariji walikitumia vema kujifariji.
 
Back
Top Bottom