Rasmi: Yanga yatuma barua kwa Azam fc kutaka kuwasajili wachezaji James Akaminko na Kipre jr

Rasmi: Yanga yatuma barua kwa Azam fc kutaka kuwasajili wachezaji James Akaminko na Kipre jr

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
[emoji599]BARUA RASMI YA YANGA KWENDA AZAM JUU YA MAJADILIANO YA UHAMISHO WA JAMES AKAMINKO NA KIPRE JR.

- CEO Andre Mtine kwenye barua hiyo amewaomba Azam wafungue majadiliano ya wao Wananchi kuwanasa nyota hao wawili baada ya tathmini ya kikosi chao na wangependa biashara iishe dirisha hili dogo.

huku Azam wakikiri kupokea barua hiyo.
shaffihdauda_-20221228-0001.jpg
 
Swali la kujiuliza hapo ni Yanga walikuwa wakiwahitaji hao wachezaji toka mwanzo?

Kama jibu ni ndio, basi hakuna shida, lakini kama wamekurupuka ili kulipa kisasi cha Azam kumtaka mchezaji wao, basi utopolo ni washamba sana.

Uzembe wao wenyewe waliouweka kwenye mkataba wa mchezaji wao, umetumiwa na wajanja walioona gap, ajabu wananuna, sasa sijui wanamnunia nani kwa ujinga wao.
 
Swali la kujiuliza hapo ni Yanga walikuwa wakiwahitaji hao wachezaji toka mwanzo?

Kama jibu ni ndio, basi hakuna shida, lakini kama wamekurupuka ili kulipa kisasi cha Azam kumtaka mchezaji wao, basi utopolo ni washamba sana.

Uzembe wao wenyewe waliouweka kwenye mkataba wa mchezaji wao, umetumiwa na wajanja walioona gap, wananuna, sasa sijui wanamnunia nani kwa ujinga wao.
Kuna vitu viwili ninavyoviona hapa....

1. Utopolo wamepanic kwa kujua fika feisal ameondoka ghafla na washabiki wanawasikilizia waone ni nini timu itafanya ili kuziba hilo gap la mchezaji katika timu lakini pia kusawazisha atmosphere ambayo imechafuka kwa sasa.

2. Wana hofu ya kukutwa na aibu kama ile iliyowakuta kwa morrison kwa mashabiki kuudharau uongozi,hivyo wanapambana kuweka sawa saikolojia za mashabiki ambao kwasasa wametulia tuliiiiiii ila jamaa akivalishwa tu jezi ya azam kutakuwa hapatoshi.


Kimsingi mtaji mkubwa wa viongozi wa utopolo ni ujinga wa washabiki wa utopolo.
 
Swali la kujiuliza hapo ni Yanga walikuwa wakiwahitaji hao wachezaji toka mwanzo?

Kama jibu ni ndio, basi hakuna shida, lakini kama wamekurupuka ili kulipa kisasi cha Azam kumtaka mchezaji wao, basi utopolo ni washamba sana.

Uzembe wao wenyewe waliouweka kwenye mkataba wa mchezaji wao, umetumiwa na wajanja walioona gap, wananuna, sasa sijui wanamnunia nani kwa ujinga wao.
Nakuunga mkono kwenye swali lako la awali, Je Yanga walikuwa wanawahitaji hawa Wachezaji?
Hoja yako kuhusu Feisal bado si rahisi kama unavyodhani. Kama ni Kweli kuna timu imemrubuni basi ijifanganye kupeleka usajili wake TFF bila kuwasiliana na timu yake ya awali halafu uone watakavyokutana na rungu la FIFA. AZAM si wajinga mpaka Leo Hashim Ibwe ameishia kusema hata wao wanamtamani (R) wanamtani Feisal lakini hasemi wamemsajili.
 
Hivi kumtaka au kununua mchezaji wa timu nyingine officially ni kulipa kisasi? Hivi bongo kuna shida gani? Biashara imekua dhambi?
Je, hii ligi waliyoianzisha Utopolo wataiweza?

Na inatoa picha moja kwa moja kuwa sakata la feisal bado bichi na inavyoonesha wauza ukwaju washambeba feitoto,ndio maana uto wanataka kufanya revenge
 
Wewe ni mjanja sana maana una akili sana kuwazidi viongozi wa yanga aisee[emoji848][emoji848]
Viongozi wanaoweka kipengele kwenye mkataba na mchezaji wao kinachowabana wenyewe, kwangu bora timu isiwe na viongozi tu.

Wajifunze kwa Azam, imewabidi waandike barua ya kuomba wapewe bei, kwasababu Azam sio wazembe wa kuacha mapengo kwenye mikataba ya wachezaji wao kama utopolo.
 
[emoji599]BARUA RASMI YA YANGA KWENDA AZAM JUU YA MAJADILIANO YA UHAMISHO WA JAMES AKAMINKO NA KIPRE JR.

- CEO Andre Mtine kwenye barua hiyo amewaomba Azam wafungue majadiliano ya wao Wananchi kuwanasa nyota hao wawili baada ya tathmini ya kikosi chao na wangependa biashara iishe dirisha hili dogo.

huku Azam wakikiri kupokea barua hiyo.View attachment 2461158
Utopolo ngoja tuone wanachokitaka
 
Kuna vitu viwili ninavyoviona hapa....

1. Utopolo wamepanic kwa kujua fika feisal ameondoka ghafla na washabiki wanawasikilizia waone ni nini timu itafanya ili kuziba hilo gap la mchezaji katika timu lakini pia kusawazisha atmosphere ambayo imechafuka kwa sasa.

2. Wana hofu ya kukutwa na aibu kama ile iliyowakuta kwa morrison kwa mashabiki kuudharau uongozi,hivyo wanapambana kuweka sawa saikolojia za mashabiki ambao kwasasa wametulia tuliiiiiii ila jamaa akivalishwa tu jezi ya azam kutakuwa hapatoshi.


Kimsingi mtaji mkubwa wa viongozi wa utopolo ni ujinga wa washabiki wa utopolo.
Wewe hukuwahi kuwa na akili, na huenda ni mojawapo ya mbumbumbu wa Rage. Hao ni wachezaji wazuri na ambao timu yoyote inayojielewa ingependa kuwa nao. Katika hali kawaida, kwa sakata la Feisal bila kujalisha ataondoka au atasalia, huturajii kuona Azam na Yanga wakifanya biashara ya wachezaji. Hawa ni watu wanaonyeshana jeuri kuwa kila mmoja ana pesa na wala hakuna biashara hapo.
Ingekuwa ni kupotezea sakata la Feisal, basi Yanga ingeweza kusajili wachezaji wanaotajwa tajwa kama akina Bobos etc.
 
Nakuunga mkono kwenye swali lako la awali, Je Yanga walikuwa wanawahitaji hawa Wachezaji?
Hoja yako kuhusu Feisal bado si rahisi kama unavyodhani. Kama ni Kweli kuna timu imemrubuni basi ijifanganye kupeleka usajili wake TFF bila kuwasiliana na timu yake ya awali halafu uone watakavyokutana na rungu la FIFA. AZAM si wajinga mpaka Leo Hashim Ibwe ameishia kusema hata wao wanamtamani (R) wanamtani Feisal lakini hasemi wamemsajili.
Watu wameshacheza ngoma uchi huko kisa Feisal amekubali kubaki utopoloni wewe hauna habari!

Na pilau la krismas likalika kisa Fei kawahurumia wajinga...
Fk7QhAwWAAAPpLY.jpeg.jpg
 
Kuna vitu viwili ninavyoviona hapa....

1. Utopolo wamepanic kwa kujua fika feisal ameondoka ghafla na washabiki wanawasikilizia waone ni nini timu itafanya ili kuziba hilo gap la mchezaji katika timu lakini pia kusawazisha atmosphere ambayo imechafuka kwa sasa.

2. Wana hofu ya kukutwa na aibu kama ile iliyowakuta kwa morrison kwa mashabiki kuudharau uongozi,hivyo wanapambana kuweka sawa saikolojia za mashabiki ambao kwasasa wametulia tuliiiiiii ila jamaa akivalishwa tu jezi ya azam kutakuwa hapatoshi.


Kimsingi mtaji mkubwa wa viongozi wa utopolo ni ujinga wa washabiki wa utopolo.
Nakubaliana 100% na sentensi yako ya mwisho kabisa, mashabiki wa utopolo ni wajinga, na ukitaka wakuchukie zaidi, waoneshe ujinga wao!
 
Back
Top Bottom