Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Hivi ligi yetu ya mchangani itaendelea lini?
Kuna timu wamebakiwa na hilo tu
Kamanda, hujaona uhusiano kweli?Samahani mkuu, mbona kama swali lako ni la mada nyingine na sio hii?
Ahsante
Kamanda, hujaona uhusiano kweli?
Sisi tuliong'olewa tumepoteza haki ya ku comment?
Zesco anaingia makundi
Watutumie tu jezi mashabiki watakuta hukuKwa nini mkuu?
Watutumie tu jezi mashabiki watakuta huku
Anapita 1 de Agosto,Horoya,Mamelod,Gormahia,Experence,Raja casablanca,Enyimba,Ahly,Zamalek,Zesco,Petro Angola nawasilishaView attachment 1193263
Habari wadau wa JF, kwa kuangalia hii ratiba ya CAF Champion League 2019/2020 unaweza kuzitabiria timu zipi zinazoweza kufikia hatua ya makundi? Je katika hii ratiba, ni mechi baina timu zipi zitakuwa na patashika kubwa na nguo kuchanika?
Nawakilisha.
Ahsante
Yaani mi kwa sasa ni shabiki wa zesco. Na nipo na jamaa zangu wengi tuu ambao tutaishabikia zesco siku hiyo . so tunaomba wao zesco watutumie tu jezi na nyimbo maana mashabiki tupo huku wasisumbuke kuja na mashabiki.Samahani Mkuu, sijakuelewa ulichosema hapa.
Ahsante
Makundi ya whatsappZesco anaingia makundi
Makundi ya whatsapp