Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Habari wadau wa JF, kwa kuangalia hii ratiba ya CAF Champion League 2019/2020 unaweza kuzitabiria timu zipi zinazoweza kufikia hatua ya makundi? Je katika hii ratiba, ni mechi baina timu zipi zitakuwa na patashika kubwa na nguo kuchanika?
Nawakilisha.
Ahsante