Pre GE2025 Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Alexandry Nemesi

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2014
Posts
1,507
Reaction score
589
Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa.

Katibu Mkuu anawatangazia wanachama wote kuwa kutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari, 2025.

Fomu za kuomba kugombea nafasi za uongozi ngazi ya Taifa zinapatikana ofisi za Makao Makuu ya Chama, Makao Makuu ya Mabaraza, Ofisi za Kanda, Ofisi za Chama za Mikoa na Wilaya kuanzia tarehe 17/12/2024. Mwisho wa kurejesha fomu ni tarehe 05 Januari, 2025 saa 10:00 jioni katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Mikocheni, Dar es Salaam au katika Ofisi za Kanda anayotoka Mgombea husika. Aidha Wanachama wanaogombea katika Mabaraza ya Vijana, Wanawake na Wazee watatakiwa kurejesha Fomu hizo katika Ofisi za Makao Makuu ya Mabaraza ya Chama zilizoko Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, Dar es Salaam au katika ofisi za Kanda anayotoka mgombea husika.

1734367439134.jpg
1734367445721.jpg
1734367449335.jpg
1734367453050.jpg
 
Kwa watu wenye Nia njema na wanaopenda Chadema wamchangie John Heche na yeye akagombee uenyekiti Chadema ili iwe MTU tatu NDANI ya nafasi ya uenyekiti
 
Back
Top Bottom