Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
kwani nimebisha basi !Ok
Hata Queen Elizabeth wa UK maombolezo yaliisha kabla ya mazishi
Wewe unaishi Dunia gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani nimebisha basi !Ok
Hata Queen Elizabeth wa UK maombolezo yaliisha kabla ya mazishi
Wewe unaishi Dunia gani?
Mzee ana msemaji wake, afisa habari wake achana na Dr wake na mwanasheria wake.Basi ungekausha tu mzee, maana kifo ni hatma ya kiumbe hai yeyote...
Kikwete hana Hospitali nchi hiikafia kwenye hospitaki wa jakaya kikwete duh haya maisha bhana …
Wewe ndio ulaushee sijafurahia hataa.....tena achana na mmBasi ungekausha tu mzee, maana kifo ni hatma ya kiumbe hai yeyote...
Kikwete hana Hospitali nchi hii
😅😅😅Kuna dalili unaweza kwisha msiba huu, ukaibuka mwingine ghafla.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mzee yupi?Mzee kweli nae yuko hoi
Tarehe 17 imekuvuruga?! 😂kwani nimebisha basi !
Nasikia Mkuranga barabara zinachongwa.Kuna dalili unaweza kwisha msiba huu, ukaibuka mwingine ghafla.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ata mimi nimeona ilo huu mwezi si wagiza au wa tatuKuna dalili unaweza kwisha msiba huu, ukaibuka mwingine ghafla.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sisi mbona tunaendelea tu , hakuna kilichobadilika , tena hiyo tarehe ni nzuri mno kwetuTarehe 17 imekuvuruga?! 😂
Mtanikumbuka 😂😂🔥
Ohooooooo !!!Nasikia Mkuranga barabara zinachongwa.
Mbona hakuna ratiba kwani umeweka taarifa fupi. Uliposema ratiba inahusu muda wa kutoa pole nyumbani kwake, muda wa vinywaji na chakula na tutakaolala matanga kuanzia saa ngapi na muda wa kutoa ubani.
Hii ndio Taarifa ya sasa kuhusiana na Msiba huo
Hii ni kwamba Maombolezo ya kitaifa ya siku 5 yataisha kabla hajazikwa.
====
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa unatarajiwa kuzikwa Februari 17, mwaka huu kijijini kwao Ngarash wilayani Monduli Mkoa wa Arusha.
Lowassa amefariki dunia Februari 10, 2024 saa 8 mchana katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango jana, Lowassa alifikishwa katika taasisi hiyo baada ya kuugua shinikizo la damu, matatizo ya mapafu na kujikunja kwa utumbo.
Taarifa kuhusu maziko yake, imetolewa leo Februari 11, 2024 na msemaji binafsi wa Lowassa, Aboubakar Liongo nyumbani kwa mwanasiasa huyo, Masaki jijini Dar es Salaam.
Amesema ratiba rasmi ya mazishi itaanza Februari 13, 2024 itakayohusisha taratibu zote za kiserikali.
"Taarifa zaidi kuhusu mazishi itatolewa baadaye, lakini kwa sasa maziko yatafanyika Ngarash Monduli mkoani Arusha siku ya Jumamosi, Februari 17, 2024 saa 8 mchana," amesema Liongo.
Mwananchi
Taarifa zaidi zitawajia baadayeMbona hakuna ratiba kwani umeweka taarifa fupi. Uliposema ratiba inahusu muda wa kutoa pole nyumbani kwake, muda wa vinywaji na chakula na tutakaolala matanga kuanzia saa ngapi na muda wa kutoa ubani.
Abdullah bin Umar (r.a) anasimulia kuwa amemskikia Mtume (s.a.w) akisema �wakati mmoja wenu atakapokufa, msimcheleweshe, bali mzikeni haraka haraka
Hii ndio Taarifa ya sasa kuhusiana na Msiba huo
Hii ni kwamba Maombolezo ya kitaifa ya siku 5 yataisha kabla hajazikwa.
====
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa unatarajiwa kuzikwa Februari 17, mwaka huu kijijini kwao Ngarash wilayani Monduli Mkoa wa Arusha.
Lowassa amefariki dunia Februari 10, 2024 saa 8 mchana katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango jana, Lowassa alifikishwa katika taasisi hiyo baada ya kuugua shinikizo la damu, matatizo ya mapafu na kujikunja kwa utumbo.
Taarifa kuhusu maziko yake, imetolewa leo Februari 11, 2024 na msemaji binafsi wa Lowassa, Aboubakar Liongo nyumbani kwa mwanasiasa huyo, Masaki jijini Dar es Salaam.
Amesema ratiba rasmi ya mazishi itaanza Februari 13, 2024 itakayohusisha taratibu zote za kiserikali.
"Taarifa zaidi kuhusu mazishi itatolewa baadaye, lakini kwa sasa maziko yatafanyika Ngarash Monduli mkoani Arusha siku ya Jumamosi, Februari 17, 2024 saa 8 mchana," amesema Liongo.
Mwananchi
TakhbiiiiiiiiirrrrrAbdullah bin Umar (r.a) anasimulia kuwa amemskikia Mtume (s.a.w) akisema �wakati mmoja wenu atakapokufa, msimcheleweshe, bali mzikeni haraka haraka