Ratiba mgao wa maji: Aweso na watendaji wako punguzeni uongo

Ratiba mgao wa maji: Aweso na watendaji wako punguzeni uongo

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Waziri wa maji majuzi mlitoa ratiba ya mgao wa maji. Ratiba yetu ilikuwa leo tupate.

Kulikoni mpaka muda huu hapaeleweki na ulijifanya kusisitiza kuwa mgao utekelezwe as planned?

Punguzeni janja janja mbele ya camera na uwongo, watanzania siyo wajinga siku hizi.

Kujiuzulu pia ni option.. Kama mlikuwa m najua hakuna consistency kuna haja gani kutoa ratiba za uwongo. Narudia tena uwongo sababu hamjaibadili wala kuomba radhi.

Wizara ya maji na Nishati ni Mzigo kwa kweli. Enzi za Meko ungekuwa ushaaga michuano ww
 
Kibaha , ilikuwa leo, yalipofika maili moja mtaa wa shule bomba kubwa likapasuka, uko mbele maji hayakwenda kabisa,hadi sasa yapo yanamwagika tu,
 
Duh! Pole sana.
Na joto la Dar es salaam sasa hivi sipati picha,..
Waziri wa maji majuzi mlitoa ratiba ya mgao wa maji. Ratiba yetu ilikuwa leo tupate.

Kulikoni mpaka muda huu hapaeleweki na ulijifanya kusisitiza kuwa mgao utekelezwe as planned??

Punguzeni janja janja mbele ya camera na uwongo, watanzania siyo wajinga siku hizi.

Kujiuzulu pia ni option..

Mh Aweso nakuita tena
Mbunye zinatoa harufu kali.
 
Walituambia wenye zamu siku yao ya zamu maji yatatoka saa 24

Jmosi siku yetu ya zamu saa 3 asubuhi picha linaanza maji yamekatika mpaka leo
 
Waziri wa maji majuzi mlitoa ratiba ya mgao wa maji. Ratiba yetu ilikuwa leo tupate.

Kulikoni mpaka muda huu hapaeleweki na ulijifanya kusisitiza kuwa mgao utekelezwe as planned?

Punguzeni janja janja mbele ya camera na uwongo, watanzania siyo wajinga siku hizi.

Kujiuzulu pia ni option.. Kama mlikuwa m najua hakuna consistency kuna haja gani kutoa ratiba za uwongo. Narudia tena uwongo sababu hamjaibadili wala kuomba radhi.

Wizara ya maji na Nishati ni Mzigo kwa kweli. Enzi za Meko ungekuwa ushaaga michuano ww
Matokeo ya wizi wa kura 2020 yatatuumiza hadi tutakapokutana 2025
 
Waziri wa maji majuzi mlitoa ratiba ya mgao wa maji. Ratiba yetu ilikuwa leo tupate.

Kulikoni mpaka muda huu hapaeleweki na ulijifanya kusisitiza kuwa mgao utekelezwe as planned?

Punguzeni janja janja mbele ya camera na uwongo, watanzania siyo wajinga siku hizi.

Kujiuzulu pia ni option.. Kama mlikuwa m najua hakuna consistency kuna haja gani kutoa ratiba za uwongo. Narudia tena uwongo sababu hamjaibadili wala kuomba radhi.

Wizara ya maji na Nishati ni Mzigo kwa kweli. Enzi za Meko ungekuwa ushaaga michuano ww
Inaelekea hakuna tatizo la maji Dar- mbona vyombo vya habari hawalipi uzito unaostahili. Ratiba ya mgao wa maji inaelekea ilitolewa tu kwenye kompyuta ili kutufariji watumiaji- Dawasa hawana uwezo kwasababu mvua hazijanyesha.

Vile vile ardhi ya Dar- inaelekea haina maji ndio maana hawajachimba visima, vile vile tuendelee kupendana tu -hakuna mtu wa kubeba lawama.
 
Mbezi Beach tuna wiki maji hayatoka, ratiba zao ni upuuzi tu,
Dawasa fanyeni mgawo wa haki,
 
Duh! Pole sana.
Na joto la Dar es salaam sasa hivi sipati picha,..Mbunye zinatoa harufu kali.
Hata za wanaokuhusu umezitukana, hata ya mama yako umeitukana. Punguza unyanyasaji Kwa watoto wa kike maana ni wazazi wako wengine
 
Waziri wa maji majuzi mlitoa ratiba ya mgao wa maji. Ratiba yetu ilikuwa leo tupate.

Kulikoni mpaka muda huu hapaeleweki na ulijifanya kusisitiza kuwa mgao utekelezwe as planned?

Punguzeni janja janja mbele ya camera na uwongo, watanzania siyo wajinga siku hizi.

Kujiuzulu pia ni option.. Kama mlikuwa m najua hakuna consistency kuna haja gani kutoa ratiba za uwongo. Narudia tena uwongo sababu hamjaibadili wala kuomba radhi.

Wizara ya maji na Nishati ni Mzigo kwa kweli. Enzi za Meko ungekuwa ushaaga michuano ww
Asante Kwa kuliona hili. Aweso tumshitaki Kwa Samia atuondolee uozo
 
Back
Top Bottom